AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, March 31, 2018

HEALTH: Zifahamu Dalili za awali za Saratani ya Matiti!

Matiti ni kiungo muhimu katika mwili wa mwanamke. Kama vilivyo viungo vingine matiti huathiriwa na magonjwa mbalimbali. Mojawapo ya magonjwa hayo ni saratani(kansa).

Zifuatazo zinaweza kuwa dalili zinazo ashiria saratani ya  matiti.
  1. Uvimbe ambao hauna maumivu kwenye titi moja au matiti yote.
  2. Ngozi ya matitu kuwa na rangi nyekundu au kidonda.
  3. Chuchu kukunjamana.
  4. Chuchu kuingia ndani.
  5. Kutoka damu au majimaji yenye damu au rangi isiyokuwa ya kawaida kwenye titi.

Man dies after fairground ride collapse in France!

  • An investigation has been launched.
A Frenchman died on Saturday after a fairground ride in central France collapsed, a local official said.

The accident happened on an attraction consisting of 14 pods attached to a central rotating carousel which went up and down, said Laurent Buffard, deputy mayor of Neuville-sur-Saone near Lyon.

The collapse resulted in the pods hurtling to the ground and the occupants being thrown out.

It was not clear if the dead man, who was at the fair with his two children, had been on the ride or was a by-stander.

An investigation has been launched.

Monkey steals 16-day-old baby in Odisha, rescue operation launched!

Image result for MONKEY
  • The mother saw the monkey fleeing with her baby and raised an alarm.
A 16-day-old baby boy was snatched by a monkey from his home in Odisha's Cuttack district on Saturday, prompting authorities to launch a massive search operation.

Building collapse kills 10 in India; 10 rescued



  • The hotel with 25 rooms was located in the commercial hub of Indore.

A four-story rickety hotel building collapsed in central India, killing at least 10 people and injuring another three, police said Sunday.

Rescuers working through the night with sledgehammers and chainsaws pulled alive 10 people from the debris of the building that came crashing down in Indore, a city in Madhya Pradesh state, on Saturday night, said police officer Sanju Kamle.


Vijana kusini unguja watakiwa kutotosheka na elimu walizonazo bali kujiendeleza ili kupata ajira!

Mkuu wa mkoa wa kusini unguja mhe hassan khatib hassan amewataka vijana wa mkoa huo kutotosheka na elimu walizonazo na badala yake kujiendeleza kielimu ili kukabiliana vyema na soko la ajira.

KUTOKA MAGAZETI YA TANZANIA YA LEO TAREHE 01 APRIL, 2018





Waziri Haroun atoa wito kwa viongozi wa serikali kuhusu suala la udhibiti wa rushwa!

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria na Utumishi wa Umma na Utawala bora Haroun Ali Suleiman amewataka Viongozi wa Taasisi kufanya kazi kwa kuzingatia Maadili na Utawala bora ili kusaidia kupunguza tatizo la Rushwa Nchini.

I Don't Wear Hijab Will I Enter Jannah (Paradise)? ┇ By Bilal Assad


Wajasiriamali Z’bar, wapata faraja Baada ya kupata mashine za kukaushia dagaa na kukamulia ndimu!

Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi, inatarajia kukabidhi mashine mbili kubwa kutoka nchini China kwa wajasiriamali wa Zanzibar ambapo moja itatumika kwa ajili ya kukaushia dagaa Maruhubi na moja kwa ajili ya kukamulia ndimu Chwaka.

PEOPLE WHO DO NOT KEEP THEIR WORD


Family and friends bid farewell to Stephen Hawking!

Cambridge: Friends, family and colleagues of Stephen Hawking gathered on Saturday to pay their respects at his private funeral in Cambridge, where the British science great spent most of his extraordinary life.
Hawking, who died on March 14 at the age of 76, was famously an atheist but his children Lucy, Robert and Tim chose St Mary the Great, the church of Cambridge’s prestigious university, to say their farewell.

LONE SPECTATO!

A man sits in the spectator stands during an open training session at the Optus Aquatic Centre ahead of the 2018 Gold Coast Commonwealth Games in Gold Coast, Australia, on Saturday.

Seeking Candidates for the Next CRDB Managing Director!

Dear Friends,
One of our missions is to engage in activities that are beneficial to both Tanzania and the Tanzanian diaspora. We recently learned that Dr. Charles Kimei, the Managing Director of CRDB for over 20 years, will retire in May 2019.  The Bank is seeking to recruit a Tanzanian national to the Managing Director position. DICOTA has been asked to help recruit a Tanzanian for this role. We are delighted to be part of this process. In addition, we are highly appreciative of our diaspora communities' input in nominating a worthy candidate(s) for this role.

CRDB is the largest wholly owned private universal bank in Tanzania. Established in 1996, CRDB Bank has grown and prospered to become the most innovative, trusted and first choice bank in the country.  The Managing Director for The Bank will report to the Chairman and the Board of Directors, and is responsible for leading the strategic direction and commercial performance of The Bank, whilst building strong relationships with customers, regulators, and the public.

The successful candidate will be self-motivated, credible, highly capable and inspiring leader.  The Managing Director will have high levels of energy, pragmatism, and commitment. S/he will also have demonstrable ability in influencing diverse groups and work well in an achievement-based environment. This is an exceptional opportunity for an entrepreneurial, creative leader to affect change for Tanzania.  You can review additional details about the job: https://goo.gl/2JZzfm

If you are a candidate or know of a good candidate for this position, please let Laetitia Jerabek at Korn Ferry know a good time and number to reach you. Also, if more convenient, feel free to email dicota@dicotausa.org any suggestions for candidates and or sources.

Worthy to note that CRDB is a great sponsor of DICOTA.


Below is Leatitia’s contact:
 
Laetitia Jerabek
+44 203 8192016
+44 7467 489314

laetitia.jerabek@kornferry.com

Gulftainer in 50-year US port deal!

  • Sharjah-based port operator planning to invest $580M in next 9 years.
Gulftainer has announced that its subsidiary, GT USA, has inked an agreement on terms with the state of Delaware in the US to secure exclusive rights to operate and develop the Port of Wilmington for 50 years.

Abu Dhabi crane crash: All projects of contractor, consultant suspended!

  • Several cars were crushed as a mobile crane lifting a tower crane collapsed at a construction site.
The Abu Dhabi Municipality has suspended all the projects of the contractor, consultant and subcontractor involved in the crane collapse incident at an under-construction building, that crushed several cars parked nearby.

Saudi encounters sandstorms, UAE to experience the same


TUJIKUMBUSHE: ATISHIA KUMUA MAMAKE MZAZI KISA MKE


It's Our Turn To Sing; A reflective piece on the role of the Tanzania diaspora by Dr. Frank Minja!


“Why does a bird sing?” 

H. E. Ambassador Dr. Arikana Chihombori-Quao posed this question in her keynote address at the Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA) Health Forum on the Role of Tanzania’s Diaspora in Enhancing Healthcare (Engagement | Awareness | Action), held in Greenbelt, MD on November 11th , 2017. The #DICOTAHealth Forum brought together over 130 delegates from across America and Tanzania, involved and interested in the various ongoing projects and opportunities in healthcare in Tanzania. 

"Raila is STUPID." Miguna SHAMES Raila For Reconciling with Uhuru Kenyatta.


NDEGE YETU ILIYOKAMATWA CANADA IMEACHIWA


TAFADHALI SAIDIA KUREJESHA TANZANIA (ARUSHA) MWILI WA MAREHEMU LEYLA MTUMWA KUTOKA LONDON, ENGLAND!

Image result for innalillahi wa inna ilahi
Ndugu wapendwa watanzania na marafiki wa Tanzania wote, tunasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu Leyla Mtumwa kilichotokea tarehe 30 March 2018 mjini London baada ya purukushani na mme wake alipigwa kisu na mumewe na kufariki papo hapo. 

Mwili wa marehemu bado unahifadhiwa na police kwa ajili ya uchunguzi ba taratibu nyingine,tutakujulisheni taarifa nyingine tutakayoipata haraka iwezekanavyo.

Msiba utakuwa kwenye address ifuatayo:
 39 Handsworth Road,  N17 6BD,Tottenham.

Kama desturi yetu tulionayo kama jamii tunawaomba michango yenu kwa hali na mali ili kufanikisha zoezi lakusafirisha mwili kwenda Arusha,Tanzania. 

Account details Sort code 20-36-98  
Account no 63049248 Barclays Bank. 
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
Malick Kieti 07787449340 .
Said John 07957542863.
Enzy Larusai 07956483352. 
Tunatanguliza shukran.


Mtanzania auwawa na mpenzi wake Uingereza!


Image result for innalillahi wa inna ilahi
Image result for innalillahi wa inna ilahi
 Leyla akiwa na anaedaiwa kuwa mpenzi wake.
MWANAMAMA Leyla Mtumwa (36) mkazi wa Arusha ameuawa jijini London nchini Uingereza kwa kuchomwa visu na mwanaume mwenye umri wa miaka 38 (jina halijatajwa) anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake baada ya kutoka disco usiku wa kuamkia jana Machi 30, wote hawa ni Raia wa Tanzania.

Tukio hilo la kusikitisha lilitokea usiku wa kamkia jana Machi 30, 2018, katika nyumba wanayoishi Watanzania hao iliyopo eneo la Haringey, Kirkstall Avenue, N17  jijini London, baada ya kuzuka ugomvi baina yao ikiwa ni muda mfupi baada Leyla kurejea nyumbani akitokea disco la usiku alikokuwa amekwenda na marafiki zake.

Vyanzo mbalimbali vinaeleza kuwa, alirudi kutoka disco akiwa na rafiki yake wamelewa na kuingia ndani, ambapo alimkuta mpenzi wake  ambaye alianza kufoka na kutukana jambo lililoibua mzozo mkali baina yao.

Baada ya mzozo huo kuwa mkubwa rafiki aliondoka na ndipo jamaa huyo alianza kumshushia kipigo kisha kumchoma visu mbele ya mtoto wake wa miaka 12, ambaye Leyla alizaa na mumewe wa kwanza anayedaiwa kuwa ni raia wa Nigeria.

Ikiwa ni majira ya saa 1:00 asubuhi, hali ya Leyla ilikuwa mbaya, kijana huyo alipiga simu katika kitengo maalum cha polisi cha makosa ya jinai (Met’s Homicide and Major Crime Command), kuwajulisha tukio hilo.

Kwa mujibu wa Met’s Homicide and Major Crime Command, baada ya polisi kuwasili walimkuta Leyla akiugulia majeraha ya visu huku akilia maumivu makali aliyokuwa akiyapata, walimchukua kwa Ambulance na kumpeleka hospitali.

Licha ya jitihada za polisi kuwahi, lakini Leyla aliaga dunia majira ya saa 2:11 asubuhi kwa saa za London. Polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo huku wakimshikilia mwanaume huyo wa Leyla kama mtuhumiwa namba moja wa tukio hilo.





"I HAVE BLACK MAGIC" (Powerful)


Hali ya taharuki yatanda kwa familia nne Dar


ASKOFU CHENGULA: CHAGUENI VIONGOZI WASIO NA UBINAFSI NA AMBAO WATAWAFANYA MSIISHI KWA KUOGOPA OGOPA!

Wakristo kote nchini wametakiwa kujipanga kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2019 wa madiwani na wenyeviti wa serikali za mitaa na viongozi wa vitongoji kwa kumchagua mtu asiyewafanya waishi kwa kuogopaogopa.

Russia says Britain must cut more than 50 diplomats!

  • The new measures are seen as punishment for Britain's calls on allies to expel Russian diplomats.
Britain has to reduce its diplomatic staff in Russia by more than 50 more people, the foreign ministry said Saturday, following an escalating row over the nerve agent attack on a former double agent.

CHADEMA waungana kwenda kula Pasaka na wakina Mbowe na Sugu gerezani

Viongozi wa Chadema wameamua kuungana kwenda kusheherekea viongozi wao waliokuwa segerea kwaajili ya kuwatia moyo na kuonyesha umoja wao hayo yamesemwa na Patrick Sosopi maimu mwenyekiti wa BAVICHA Vile vile amesisistiza kuwa majaribio yanayofanywa kuifuta chadema hayatawezekana, na kusema kuwa kuna mtu ambae anatumwa na serikali kwaajili ya kukichafua chama hiko cha upinzani.

MAASKOFU ARUSHA WATEMA CHECHE ‘KANISA HALIWEZI KUNYAMAZISHWA AU KUFUNGWA MDOMO’!

UMOJA wa Makanisa ya Kikristo Mkoani Arusha jana ulisema kanisa ni chombo chenye mamlaka ya Mungu katika kukosoa, kukemea na kuelimisha waumini wake na kamwe hakiwezi kunyamazishwa na mtu yoyote. 

What a massive Volkswagen buyback looks like!!

Volkswagen's emissions cheat scandal has cost the German automaker tens of billions of dollars in the U.S., and now the fall-out is also visible with nearly 300,000 cars it was forced to buy back sitting in parking lots around the country. Jane Lanhee Lee reports.

'Novice, supercilious' Saudi crown prince has no knowledge of history: Iran!

A handout picture provided by the Saudi Royal Palace on March 24, 2018, shows Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman (C) looking at a quadruped robot during his visit to the Massachusetts Institute of Technology (MIT) in Cambridge, Massachusetts.
Iran's Foreign Ministry spokesman has slammed the recent bellicose remarks made by the Saudi crown prince against Tehran as the result of his naivety and superciliousness.

"This delusional novice, who is still too big for his boots, either does not know what war is, or has not studied history, or unfortunately has not talked to a venerable person," Bahram Qassemi said on Friday night.

A TECHNOLOGICAL ADVANCEMENT!



Autopsy Reveals Police Brutality In Stephon Clark's Murder


Facebook and your personal data: What you should know!



If you’re reading this, you’re using a computer or smartphone, you’re probably one of Facebook’s two billion users and you might be wondering how vulnerable you are on the app.

A smash-and-grab of users’ personal Facebook data by a marketing questionnaire masquerading as a personality quiz in 2013 has now been implicated in a manipulative ad campaign in the 2016 U.S. federal election. The campaign, carried out over Facebook, allegedly used Cambridge Analytica data about Facebook users to target them with specific content designed to boost support for republican candidates.


Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuzindua ugawaji wa vyandarua vyenye dawa ya muda mrefu!


Meneja wa kitengo cha kupambana na Malaria Zanzibar Abdallah Suleiman Ally akiongea na waandishi wa habari leo Zanzibar wakati akitangaza kuanza kugawa vyandarua vyenye dawa ya muda mrefu ikiwa ni juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuendelea kupambana na ugonjwa wa Malaria chini ya umefadhiliwa na Shirika la Misaada la Marekani – USAID kupitia Mfuko wa Raisi wa Marekani wa kudhibiti malaria.
Meneja Miradi kutoka VectorWorks akiongea na waandishi wa habari leo Zanzibar wakati akitangaza kuanza kugawa vyandarua vyenye dawa ya muda mrefu ikiwa ni juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuendelea kupambana na ugonjwa wa Malaria chini ya umefadhiliwa na Shirika la Misaada la Marekani – USAID kupitia Mfuko wa Raisi wa Marekani wa kudhibiti

Wizara ya afya Zanzibar kupitia Kitengo cha kumaliza Malaria katika juhudi zake za kupambana na ugonjwa wa Malaria kinakusudia kutoa vyandarua laki moja na 95 elfu kwa mama wajawazito na watoto waliochini ya miaka mitano nchi nzima.

KAULI YA TUNDU LISSU UJIO WA BOMBARDIER ILIYOKUWA IMEZUILIWA CANADA..!

Leo Machi 30, 2018 Mbunge wa Singida, Tundu Lissu amesema ameona taarifa ya Msemaji wa Ikulu, Gerson Msigwa, kwamba ndege aina Bombardier iliyokuwa imezuiliwa Canada inakuja nchini.

SpaceX launches rocket carrying 10 communication satellites!


  • Iridium-5 NEXT Mission marked the fifth set of 10 satellites that Elon Musk's SpaceX has launched.
American aerospace company SpaceX on Friday successfully launched a Falcon 9 rocket carrying 10 telecommunications satellites from the Vandenberg Air Force Base in Southern California.

LEMA : SI AJABU UKASIKIA SILAHA ILIYOMUUA AKWILINA IPO NYUMBANI KWA KIONGOZI WA CHADEMA!


Machi 30, 2018 Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameongea kuhusu taarifa iliyotolewa na Kamanda wa kanda maalum ya DSM Lazaro Mambosasa kuhusu silaha iliyotumika kumuua Akwilina kuwa bado haijajulikana na wanaendelea na upelelezi.

15 Palestinians die in clashes with Israeli troops!


  • Ashraf Al-Qedra said that about 2,000 other Palestinians were injured during the protests. 
Fifteen Palestinian protesters were killed on Friday in confrontations with Israeli security forces along the Gaza border as Gazans marked Land Day, a spokesman from the Health Ministry in Gaza told Efe.

TUNDU LISSU :KUSHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA NI KUWAPA UPAKO MKUBWA WA KISIASA MBELE YA WANANCHI!

Mbunge wa Singida, Tundu Lissu amesema kitendo cha viongozi wa Chadema kuendelea kushikiliwa na magereza licha ya Mahakama kutoa kibali cha kuachiwa kwa dhamana kuwa huko sio kuwaadhibu bali ni kuwapa upako mkubwa wa kisiasa mbele ya wananchi.

KUTOKA MAGAZETI YA TANZANIA YA LEO TAREHE 31 MARCH, 2018







Friday, March 30, 2018

DO YOU KNOW HOW IMPORTANT SALAH IS?


TAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU RAIA WA TANZANIA NCHINI OMAN!




TAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU RAIA WA TANZANIA NCHINI OMAN

Kuna kipande cha video kinasambaa mitandaoni kikiwa na maelezo kuwa raia wa Tanzania wanaoishi nchini Oman wamekusanyika ofisi ya Ubalozi kushinikiza kurejeshwa nyumbani kutokana na mateso na adhabu kali wanazopata kutoka kwa mabosi wao.

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, baada ya kutazama kipande hicho cha video iliwasiliana na Ubalozi wa Tanzania nchini Oman kwa madhumuni ya kujua usahihi wa jambo hilo.

Ubalozi ulitoa ufafanuzi kuwa uliandaa mkutano wa Watanzania wote wanaoishi Oman na ulipangwa kufanyika katika hoteli ya Golden Tulip jijini Muscat tarehe 23 Machi 2018. Matangazo ya mkutano huo yalitaka Watanzania watakaopenda kushiriki wajisajili kabla ya siku ya mkutano. Watanzania takriban 200 walijisajili na ubalozi ulifanya maandalizi ya ukumbi, vyakula na vinywaji kwa ajili ya watu 300 kwenye hoteli ya Golden Tulip.

Siku ya mkutano ilipowadia, Watanzania zaidi ya elfu moja walijitokeza na kusababisha ugumu wa kuendelea na mkutano kutokana na maandalizi yaliyofanywa yalilenga watu 300. 

Kamati ya maandalizi ilipoona ukumbi umejaa na watu walio nje ni weng mara mbili zaidi ya watu waliokuwemo ndani ya ukumbi iliamua kufunga milango na kuwaomba waliochelewa warejee nyumbani. 

Uamuzi huo haukuwafurahisha watu waliochelewa, hivyo walishinikiza waingizwe kwenye ukumbi wa mkutano, kitendo ambacho kiliashiria uwezekano wa kutokea vurugu kubwa.

Kutokana na uhalisia huo, Kamati ya maandalizi ambayo ilijumuisha pia viongozi wa Watanzania wanaoishi nchini humo ilishauriana na kuamua kuwa mkutano huo uahirishwe na maandalizi yaanze upya kwa madhumuni ya kupata ukumbi na huduma nyingine zitakazokidhi idadi kubwa ya watu.

Kutokana na ufafanuzi huo, Wizara inapenda kuufahamisha umma wa Watanzania kuwa kipande hicho cha video kimechukuliwa wakati Watanzania wanashinikiza kuingia kwenye ukumbi wa mkutano na sio kwamba wamekusanyika kwenye ofisi ya ubalozi wa Tanzania kushinikiza kurejeshwa nyumbani kutokana na mateso wanayoyapata.


-Mwisho-
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,

Dar es Salaam, 26 Machi, 2018