dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, August 6, 2018

ZANZIBAR: ALIYEMUUA MKEWE KWA KUMNYIMA UNYUMBA AHUKUMIWA KUNYONGWA!


Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar Mkusa Isack Sepetu amemuhuku Mfanyabiashara Abdallah Mohamed Kangoba mwenye umri wa miaka 43, adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe kwa kumpiga mapanga baada ya kunyimwa tendo la ndoa usiku wa kuamkia Oktoba 3, mwaka 2013 katika kijiji cha Donge Mtambile, Mkoa wa Kaskazini Unguja.

No comments :

Post a Comment