Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Monday, August 6, 2018
ZANZIBAR: ALIYEMUUA MKEWE KWA KUMNYIMA UNYUMBA AHUKUMIWA KUNYONGWA!
Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar Mkusa Isack Sepetu amemuhuku Mfanyabiashara Abdallah Mohamed Kangoba mwenye umri wa miaka 43, adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe kwa kumpiga mapanga baada ya kunyimwa tendo la ndoa usiku wa kuamkia Oktoba 3, mwaka 2013 katika kijiji cha Donge Mtambile, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment