Papa Francis ametoa wito kufanywe juhudi mpya kuleta amani baina ya Waisraeli na Wapalestina.
Kiongozi huyo wa kanisa katoliki pia ametaka kumalizwa kwa vita nchini Syria akisema ni wakati wa silaha kunyamazishwa.
Katika ujumbe wake wa Krismasi kiongozi wa kanisa la Anglikana duniani Askofu mkuu Justin Welby amewataka raia kumuomba Mungu ili kukabiliana na ugaidi.
Aidha amesema kuwa mengi yanapaswa kufanya ili kukabiliana na ukosefu wa usawa.
No comments :
Post a Comment