Baada ya kujifungua mapacha wiki kadhaa zilizopita sasa,Beyonce na mume wake Jay-Z wabainisha majina ya wanao wawili.
Mapacha wa magwiji wa sanaa ya Muziki kutoka Marekani wamepewa majina ya Rumi na Sir.
Rumi ni jina la mwanafalsafa wa kiislamu aliyeishi katika karne ya 13 ambaye hadi wa leo anakumbukwa kwa kazi yake ya mashairi na maneno yaliyopendekeza upendo ,furaha na uvumilivu.
Wasanii hao nyota wamesemekana kuwakilisha haki ya miliki kwa majina ya wanao kama Rumi Carter na Sir Carter ili kuhakikisha kwamba hamna mtu mwengine atakayefaidi kutokana na majina hayo .
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment