dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, July 2, 2017

Beyonce na Jay-Z wampa jina la kiislamu mtoto wao!

Baada ya kujifungua mapacha wiki kadhaa zilizopita sasa,Beyonce na mume wake Jay-Z wabainisha majina ya wanao wawili.

Mapacha wa magwiji wa sanaa ya Muziki kutoka Marekani wamepewa majina ya Rumi na Sir.

Rumi ni jina la mwanafalsafa wa kiislamu aliyeishi katika karne ya 13 ambaye hadi wa leo anakumbukwa kwa kazi yake ya mashairi na maneno yaliyopendekeza upendo ,furaha na uvumilivu.

Wasanii hao nyota wamesemekana kuwakilisha haki ya miliki kwa majina ya wanao kama Rumi Carter na Sir Carter ili kuhakikisha kwamba hamna mtu mwengine atakayefaidi kutokana na majina hayo .

No comments :

Post a Comment