Mkosoaji Mkuu wa serikali ya Rwanda, Diane Rwigara, kesho anatarajiwa kufikishwa Mahakamani akishtakiwa kwa makosa ya kuchochea uasi na udanganyifu.
Bi. Diane mwenye umri wa miaka 35. Alizuiwa kugombea Urais katika uchaguzi mkuu wa Agosti mwaka huu, kwa madai kwamba hakutimiza masharti ya kugombea nafasi hiyo na pia kughushi baadhi ya saini za wadhamini wake.
Kaka yake anayeishi uhamishoni nchini Marekani ameishutumu serikali ya Rwanda kwa kuihukumu familia yao baada ya Diane kujaribu kumpinga Rais Kagame.
Bi. Diane mwenye umri wa miaka 35. Alizuiwa kugombea Urais katika uchaguzi mkuu wa Agosti mwaka huu, kwa madai kwamba hakutimiza masharti ya kugombea nafasi hiyo na pia kughushi baadhi ya saini za wadhamini wake.
Kaka yake anayeishi uhamishoni nchini Marekani ameishutumu serikali ya Rwanda kwa kuihukumu familia yao baada ya Diane kujaribu kumpinga Rais Kagame.
No comments :
Post a Comment