Kiongozi wa chama cha upinzani cha MHP Uturuki Devlet Bahceli amesema kuwa kitendo cha Marekani kutaka kuutambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel ni kosa la kihistoria.
Kwa mujibu wa habari,bwana Bahceli amesema kuwa uamuzi huo wa Marekani utaleta kizaazaa Mashariki ya kati.
"Hio ni mbinu ya kuvuruga vitu vyote tunavyoamini kuwa ni vitakatifu",amesema kiongozi huyo.
Vilevile amesema kuwa hatua hiyo sio tu itavuruga ulimwengu wa kiislamu bali itakua na athari kubwa zaidi.
Bahceli ameyataka mataifa ya kiislamu yaandamane kupinga suala hilo.
Kwa mujibu wa habari,bwana Bahceli amesema kuwa uamuzi huo wa Marekani utaleta kizaazaa Mashariki ya kati.
"Hio ni mbinu ya kuvuruga vitu vyote tunavyoamini kuwa ni vitakatifu",amesema kiongozi huyo.
Vilevile amesema kuwa hatua hiyo sio tu itavuruga ulimwengu wa kiislamu bali itakua na athari kubwa zaidi.
Bahceli ameyataka mataifa ya kiislamu yaandamane kupinga suala hilo.
No comments :
Post a Comment