dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, March 18, 2018

Zitto Kuishauri Zanzibar iishtaki Tanzania, Ayataja Maandamano

Kiongozi Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hafahamu kuhusu maandamano yanayotajwa na viongozi wakubwa Serikalini huku akisema kuwa amedhamiria kuishauri Zanzibar iishtaki Tanzania kwenye mahakama ya Afrika Mashariki kama Serikali ya Muungano itashindwa kumaliza tofauti iliyopo kuhusu uuzwaji wa sukari ya Zanzibar upande wa bara.

No comments :

Post a Comment