Kiongozi Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hafahamu kuhusu maandamano yanayotajwa na viongozi wakubwa Serikalini huku akisema kuwa amedhamiria kuishauri Zanzibar iishtaki Tanzania kwenye mahakama ya Afrika Mashariki kama Serikali ya Muungano itashindwa kumaliza tofauti iliyopo kuhusu uuzwaji wa sukari ya Zanzibar upande wa bara.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment