FUNGUA BAADAE PIGA KURA YAKO!
https://strawpoll.com/rwkaer9x
UNAKARIBISHWA KUPIGIA KURA CHAMA AMBACHO UNAPENDA KIONGOZE NCHI YETU TUKUFU KATIKA UCHAGUZI UJAO WA 2020.
CHA KUFANYA BOFYA LINK HIYO HAPO JUU 👆🏾 itakupeleka moja kwa moja katika sehemu ya kupiga kura.
#wote mnakaribishwa.
N.B. PIGA KURA MARA MOJA TUU NA UKIPIGIE KILE CHAMA UKIPENDACHO.
HAMNA KUTIA GOLI LA MKONO!
Kuonesha results baada ya kupiga kura ni sawa na goli la mkono. Kama tunataka kupata sura sahihi basi kura inaachwa for 7 days watu wapige and after 7 days ndio zinatoka results. Kwa hivi ilivyosasa ni kuwa watu wanaambizana kabla hawajapiga kura na kwahivyo hizi results hazina maana yoyote.
ReplyDelete