dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, September 22, 2019

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AFUNGA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SADC JIJINI DAR ES SALAAM!

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akihutubia wakati wa kufunga Mkutano wa Mawaziri wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa waliokutana kwa siku kuanzia Septemba 19-20, 2019 jijini Dar es Salaam. Picha zote na Matokeo Chanya+. Meza kuu.
Mawaziri wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa waliokutana kwa siku kuanzia Septemba 19-20, 2019 jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhandisi Isack Kamwelwe akizungumza wakati wa kufunga Mkutano wa Mawaziri wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa waliokutana kwa siku kuanzia Septemba 19-20, 2019 jijini Dar es Salaam. Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Mchezo Dkt. Harrison Mwakyembe akimkaribisha mgeni rasmi kufunga Mkutano wa Mawaziri wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa waliokutana kwa siku kuanzia Septemba 19-20, 2019 jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Sekta ya Uchukuzi Bw. Leonard Chamriho akizungumza wakati wa kufunga Mkutano wa Mawaziri wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa waliokutana kwa siku kuanzia Septemba 19-20, 2019 jijini Dar es Salaam. 
Mawaziri wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa waliokutana kwa siku kuanzia Septemba 19-20, 2019 jijini Dar es Salaam.Brass Bendi wakiongoza shughuli.
Mawaziri wakiwa katika picha ya pamoja.
Kamati ya maandizi.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi Na Mawasiliano Dkt Jim Yonazi (wa pili toka kulia, mstari wa mbele) pamoja na viongozi wengine wakiwa na watoa huduma walioshughulika na mkutano huo.

No comments :

Post a Comment