Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, September 21, 2012

UTEUZI SUZA

Dk Shein afanya uteuzi wa manaibu Makamo Chuo cha SUZA

Written by   //  21/09/2012  
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Manaibu Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar(SUZA).
Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi,Zanzibar Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee imeeleza kuwa Dkt Shein amemteuwa Dkt.Zakia Mohammed Abubakar kuwa Naibu Makamo Mkuu wa SUZA ataeshughulikia masuala ya Utawala.
Pia Dkt Shein amemteuwa Dkt Haji Mwevura kuwa Naibu Makamo Mkuu wa Chuo hicho atakaeshughulikia masuala ya Taaluma.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu10(1)cha Sheria ya SUZA namba 8 ya mwaka 1999 kama ilivyorekebishwa na kifungu cha 4 cha Sheria namba 11 ya mwaka 2009.
Uteuzi huo umeanza jana.
IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR

No comments :

Post a Comment