dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, October 15, 2012

BREAKING NEWS!!!

Taarifa za hivi punde ni kwamba waziri Mansoor Himid (CCM) ambaye alikuwa waziri asiyekuwa na wizara maalum, ametimuliwa uwaziri na Rais wa Zanzibar Dr Shein.

Kisa cha kutimuliwa ni kutokana na msimamo wake wa kutaka muuungano wa mkataba jambo ambalo ni kinyume na sera za CCM za serikali mbili.

Chanzo: Jamii Forums

No comments :

Post a Comment