dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, October 9, 2012

Maalim Seif afahamiki: Asema Mzanzibari mmoja!

Kauli za Maalim seif na athari zake.

Maalim Seif
Written by   //  09/10/2012  //  Habari  
Maalim Seif ameshindwa kusoma kutokana na makosa yake ambayo husababishwa na matamshi yake bila kuzingatia kuwa athari zake zinakuwa kubwa sana kwa mfano wakti wa Uchaguzi wa Mwanzo alitamka haya yafuatayo :ule uchaguzi wa Urais aliposema njia zote za udangayifu tumesha zigunduwa na kuziziba pale pale niliwapigia marafiki zangu na kuwambia maali amesha chafuwa kwa kauli hii matokeo bado inakuwaje aseme hayo kilichotokea
akashindwa kwa kura mbili tatu uchahguzi uliopita akatamka haya yafuatayo hakuna wa kunizuwia kuingia ikulu labda Rehema za Mmungu (kifo) matokeo yake tumeyaona (3) juzi alisikika akisema kuwambia wananchi safari hii tutapata katiba safi na maoni ya wazanzibar yatasikiliza matokeo yake sasa wezentu sasa wamekuja na mpango wa fomu sasa unajiliza hivi fomu ile kweli hakuna uwezekano wa kubadilishwa wanvyotaka upande wapili ?nafikiri mlio karibu na maalim mfanye jitihada za kumsaidia kwani inashanga hivi kuna haja ya kusifia jambao ambalo kwa uhakika anajuwa kuna viumbe wao wanasubiri wasifiwe ili wapate mwanya wa kubadilisha hiyo sifa tujalie wamefanikiwa wanchokitaka wasioitakia mema zanzibar halafu maali alalamike si watamuliza wewe si ndio yule uliyotolea sifa hali ilivyokuwa inaendelea na kutowa maelezo katika itakuwa safi si juwi atatueleza nini ?

Chanzo: Mzalendo

No comments :

Post a Comment