dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, October 19, 2012

YALIOTOKEA MCHANA OCTOBER 19-2012

Developing Story – Picha: Yaliyojiri Dar Na Zanzibar Leo Mchana

Maeneo ya Mzimbazi
Waandamaji
Mtaa wa Livingstone karibu na I&M Bank
Wanajeshi wakifanya doria maeneo ya Kariakoo.
Kariakoo
Maktaba House.
Darajani Zanzibar
Picture
Picture
Muumini wa dini ya Kiislamu akishahadia kwa mola wake na kusema nipo
tayari kufa kwa ajili ya kutetea dini ya Allah baada kukamatwa na Askari
wa Kikosi cha Kutulia Ghasia katika viunga vya eneo la Ikulu.
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakiwa katika Mitaa ya Kariakoo na viunga vyake kuimarisha ulinzi. Picha na Happiness Mnale
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakiwa katika Mitaa ya Kariakoo na viunga vyake kuimarisha ulinzi.Picha na Happiness Mnale
Doria ya Polisi wa Pikipiki katika mitaa ya Kariakoo leo mchana.
Chanzo: WotePamoja

No comments :

Post a Comment