Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal, akimpa pole katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga aliyelazwa katika chumba maalum katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu baada ya kumwagiwa Tindi kali huko Zanzibar.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


No comments :
Post a Comment