Video »
Monday, November 5, 2012
UZINDUZI WA MRADI WA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA KUTOKA MTWARA NA SONGOSONGO HADI DAR ES SALAAM

TAARIFA KWA UMMAWizara ya Nishati na
Madini (MEM) inapenda kuutangazia umma
kuwa Serikali inatarajia kuzindua mradi wa
ujenzi wa miundombinu ya kusafisha na
kusafirisha
gesi asilia kutoka Mnazi Bay Mtwara na
Songo Songo
Kilwa hadi Dar es Salaam.
Madini (MEM) inapenda kuutangazia umma
kuwa Serikali inatarajia kuzindua mradi wa
ujenzi wa miundombinu ya kusafisha na
kusafirisha
gesi asilia kutoka Mnazi Bay Mtwara na
Songo Songo
Kilwa hadi Dar es Salaam.
Hafla ya kuweka Jiwe la Msingi wa mradi huo
itafanyika tarehe 8/11/2012 Kinyerezi,
Manispaa
ya Ilala, katika eneo ambapo mitambo ya
kuendeshea mfumo mzima wa gesi itajengwa.
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo atakuwa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
itafanyika tarehe 8/11/2012 Kinyerezi,
Manispaa
ya Ilala, katika eneo ambapo mitambo ya
kuendeshea mfumo mzima wa gesi itajengwa.
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo atakuwa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Wananchi wote wa Dar es Salaam na maeneo
yanayozunguka eneo la Kinyerezi mnaalikwa na
mnaombwa kufika kwenye eneo la mradi
saa 2.00 asubuhi.
yanayozunguka eneo la Kinyerezi mnaalikwa na
mnaombwa kufika kwenye eneo la mradi
saa 2.00 asubuhi.
GESI ASILIA KWA MAENDELEO YA TAIFA
Imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
Source: Vijimambo
No comments :
Post a Comment