BAADA YA KUWA TANZANIA KWA KIPINDI CHA MIAKA 82, TOKA ENZI ZA BOAC, SHIRIKA LA NDEGE LA UINGEREZA YAANI BRITISH AIRWAYS LIMEAMUA KUITOSA RASMI TANZANIA,GLOBU YA JAMII INAWEZA KUTHIBITISHA!
HABARI ZA UHAKIKA TOKA JIKONI ZINASEMA NDEGE YA MWISHO YA BRITISH AIRWAYS KUTUA TANZANIA ITAKUWA MACHI 29, 2013 WAKATI BOEING 767 YA SHIRIKA HILO AMBAYO NI KIJEBA (ZINAZOKUJA HUKU ZINA UMRI ZAIDI YA MIAKA 20) ITATUA KWA MARA YA MWISHO.
NA KWA HUZUNI KUBWA KWA WADAU WAKE, OFISI ZA BRITISH AIRWAYS PALE SERENA INN JIJINI DAR ES SALAAM ZITAPIGWA KUFULI RASMI MACHI 31, 2013.
Hii imekuja baada ya:
British Airways kurejesha huduma zake Tanzania
Thursday, August 23, 2012
KAMPUNI ya Ndege ya British Airways imeirejesha angani ndege yake iliyokuwa ikifanya safari zake za kusafirisha abiria kati ya Dar es Salaam na London, Uingereza.
Kurejeshwa kwa ndege hiyo aina ya BA 737 kutaiunganisha Afrika kwenye mtandao wa safari za ndege na nchi za Ulaya unaofanywa na kampuni hiyo ya Britisha Airways.
Akizungumza kupitia taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na shirika hilo, jana, Ofisa Uhusiano wa British Airways, Mary Barry alisema safari hizo zimerejea baada ya matengenezo ya kawaida ya ndege hiyo.
Alisema ndege hiyo imerejea tena baada ya matengenezo hayo na itakuwa ikifanya safari zake za Ulaya na Afrika katika kipindi cha majira ya joto baada ya kutoonekana kwa kipindi cha miaka 25.
“British Airways inajisikia furaha kukamilisha matengenezo ya ndege hii ambayo ni moja kati ya zile ndogo lakini tunaamini itakidhi haja za wasafiri wa Afrika,” alisema.
Kama ilivyo kwenye ndege zake, alisema abiria kwenye ndege yake watafurahia huduma za aina mbalimbali kama vile vyakula, vinywaji na vifaa vya kisasa vya elektroniki, kwa lengo la kuburudisha wateja.
Wakati huohuo, Shirika hilo limesema kuwa litatoa punguzo maalumu la nauli kwa abiria wa Tanzania watakaosafiri na ndege hiyo kwenda Ulaya na New York Marekani.
Alisema tayari huduma za tiketi kwa safari zake zinapatikana kwa maajenti mbalimbali nchini, wakiwemo BA Travel.
- Saturday, 19 January 2013 10:03 AM

Emirates Airline has announced plans to add more than 1,400 seats a week on its Dar es Salaam – Dubai route from next month.
The Dubai-based carrer said it will increase capacity on the Tanzanian route by introducing a Boeing 777-300ER aircraft effective from February 1.
The Airbus 340-500 currently deployed on one of Dar es Salaam’ daily flight, will be replaced by add a 40 percent boost to seat capacity.
“Dar es Salaam is one of East Africa’s most popular destinations and the introduction of the new Boeing 777 is a direct response to increasing passenger demand on this route,” said Jean Luc Grillet, Emirates senior vice president Commercial Operations for Africa.
“Emirates carried 148,000 passengers on flights to and from Dar es Salaam in 2012. With the new Boeing 777 service we expect this to noticeably grow as our customers continue to explore the opportunities Emirates’ global network has to offer.”
In addition to carrying more passengers, the operation of the new aircraft will also have a positive impact on Tanzania’s import and export industry.
Emirates SkyCargo will increase its belly-hold capacity from 30 tonnes in both directions to 46 tonnes, which means businesses will benefit from an additional 112 tonnes of weekly capacity on the route.
Emirates established operations in Tanzania in 1997 and flies daily from Julius Nyerere International Airport (JNIA) in Dar es Salaam to Dubai, connecting passengers to 117 destinations in 74 countries across six continents.
Source: Arabian Business News

No comments :
Post a Comment