dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, January 4, 2013

KATIBA MPYA: JAJI WARIOBA KUKUTANA NA WANAHABARI KESHO, JUMAMOSI, JANUARI 5, 2013, OFISI ZA TUME, JIJINI DAR ES SALAAM

                                                                                         
Kwa taarifa - Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Jospeh Warioba, ataongea na Wanahabari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Tume kesho, Jumamosi, tarehe 5 Januari, 2013, kuanzia saa 4:00 asubuhi katika Ukumbi wa Mikutano uliopo 'Ground Floor' katika jengo la Ofisi za Tume jijini Dar es Salaam. Kwa rejea, ofisi za Tume za Dar es Salaam zipo mkabala na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mtaa wa Ohio.

Vyombo vyote vya Habari vinakaribishwa
-------
Omega S. Ngole,
Principal Information Officer,
Constitutional Review Commission (Tanzania),
Ohio Street,
PO Box 1681,
Dar es Salaam,
Tel: +255 (0) 22 2133425,
Fax: +255 (0) 22 2133442,
Mobile: +255 (00 757 500800,
Website: www.katiba.go.tz

Chanzo: Wanabidii Forum

No comments :

Post a Comment