Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, January 24, 2013

MCHANGO WA TIBA WAENDELEA CANADA

بـــسـم الـّلـه الرحـمــن الرحــيـم
LOGO 140
 Asalaam alaikoum Wazanzibari.
Napenda kuchukuwa fursa hii kwa mara nyengine, kuwakumbusha kuwa bado tunakusanya michango kwa ajili ya watoto wawili waliozaliwa na maji katika vichwa vyao, ambao wamefanyiwa operation huko Dar es salaam.
Kama nilivyoeleza awali, wanaokusanya michango hiyo ni Nabhani – 647-499-6245, Dr. Zahor kwa Hamilton-905-524-5718, Leila kwa Toronto-416-514-0965 na Hassan Othman Toronto – 416-4387857 na kwa wale amabo watatuma moja kwa moja Zanzibar, Maalim Said Yunus (Abuu Yunus) 0776-399-494.
KWA WALEOKO SEHEMU NYENGINE WANAWEZA KUWASILIANA NA NABHANI NAMBA HIYO HAPO JUU.
Maelezo zaidi yatatplewa kuhusu matumizi ya michango hiyo mara tu baada ya kufikishwa kunakohusika.
Watoto hao kwa sasa wanashughulikiwa na kikundi cha Pemba Yetu kilicho na makao makuu yake Dar es salaam.
Michango yote itatakiwa iwe imeshakamilika ifikapo Februari 10, 2013.
Tunatanguliza shukrani zetu za dhati kwa waleo wote waliokwishao kutoa na ambao watatoa.
kny: ZACADIA Canada
والــلـّه ولى الـتوفـيـق

Chanzo: Mzalendo

No comments :

Post a Comment