Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, January 15, 2013

ZANZIBAR: Uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Usafiri wa Barabarani


January 13, 2013.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amemteuwa Mussa Msheba Suleiman kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Usafiri wa Barabarani katika Wizara ya Miundo Mbinu na Mawasiliano,Zanzibar.

 Kwa mujibu wa Taarifa iliotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi ,Dkt Abdulhamid Yahya Mzee imeeleza kuwa Rais amefanya uteuzi huo kwa mujibu ya uwezo aliopewa chini ya kifungu Namba 14((2)(a) cha sheria ya Usafiri wa Barabarani(THE ROAD TRANSPORT ACT)Namba 7ya mwaka 2003.
Uteuzi huo umeanza tarehe 06Januarri,2013.
IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR.


No comments :

Post a Comment