zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, March 31, 2013

DISASTER IN DAR ES SALAAM!



PopoutPopout 
 Eneo la tukio ambapo jengo la ghorofa zaidi ya 10 liliporomoka jana asubuhi na hadi kufikia saa sita mchana leo maiti 18 zilikuwa zimeopolewa na watu wanne wakiwemo wakandarasi waliokuwa wanajenga pamoja na wahandisi wa halmashauri ya wilaya ya Ilala wanashikiliwa na polisi, wakati wawili wanaendelea kusakwa ikiwa ni pamoja na mjenzi ambaye kapewa masaa 12 kujisalimisha. Kuna habari kwamba jengo hilo refu kulia pia linajengwa na mkararasi aliyejenga hili lililoporomoka na kila aliye sehemu hii analiangalia kwa jicho la wasiwasi.

 Rais Kikwete akiwa eneo la tukio tena leo, baada ya kutembelea jana,  akitoa maagizo kwa Kamanda wa Kanda maalumu ya Dar es salaam Suleiman Kova kwamba kila aliyehusika na ujenzi wa jengo hilo kuanzia mchoraji, msimamizi na mjenzi wahojiwe na wawajibishwe wakipatikana na kosa 

 Rais Kikwete akiongea na viongozi wa msikiti wa Shia ithnaasheri 
wakati anaondoka eneo la tukio



Picha na Michuzi
BGkNxjCCQAEyljV
Miili ya watu iliyoopolewa kutoka kwenye vifusi vya jengo lenye ghorofa 
16 lililoanguka jana katikati ya jiji la Dar es Salaam, imefikia 21.
Shughuli za uokoaji zilizoanza jana bado zinaendelea kwa siku ya pili huku kukiwa
 na taarifa za kuwepo miili zaidi kwenye vifusi hivyo.
Jana Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitembelea katika eneo la jengo hilo lililoporomoka 
lililopo Mtaaa wa Indira Gandhi/Morogoro.

BGhTCALCEAA5EUX

BGhxvZyCAAACKUS

BGj2L20CcAAk2Qh

BGk_iPYCMAA0JzE

BGkGOFQCAAAxCuR
kwa picha zaidi bofya read more

BGkHMJ2CYAAqKHE

BGkhNw7CAAA6hR1

BGkOUrrCIAAEF5U

BGlcQBeCUAA_li0

BGlHo3LCAAEzet7

BGlKKpQCEAAD_Nd

BGlTF1nCQAEJ5Sx

BGlTUDmCAAAtzar

BGlvUhpCEAAbSNA

Picha ya watoto waliopoteza maisha kwenye jengo hilo

2
Picha na Task Force @WaljiAli Twitter.


No comments :

Post a Comment