AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, April 16, 2013

MBIU YA MGAMBO YAPIGWA CANADA KWAJILI YA BI SALMA SAID!

            
             Bi Salma Said akimfariji Bi Kidude nyumbani kwake, 
            wakati Bi Kidude alipokuwa kashikwa na maradhi!

Written by   //  15/04/2013

MSAADA WA WAZANZIBARI KUTOKA 
CANADA KWA NDUGU SALMA SAID
 LOGO 130
Kitengo cha Afya cha ZACADIA kinawatangazia Wazanzibari wote wanaoishi Canada, wanajulishwa juu ya kuumwa kwa ndugu yetu Bi. Salma Said na kuwa hivi sasa tumo katika kukusanya michango kwa ajili yake.

Tafadhali, kama unahitaji kumchangia Ndugu Salma, basi wasiliana na watu wafuatao hapa chini ili kupanga namna ya kuweza kufikisha mchango wako:
1. Leila Abdisalamy 416-514-0965
2. Hassan Othman 647-404-8618
3. Omar Said 416-732-5301
4. Mohammed al-Nabhany 416-854-1386
5. Dr. Zahor Hemed (Hamilton) 905-524-5718

Tunakusudia kuipeleka michango yote Zanzibar siku ya Jumaamosi tarehe 20 April, 2013.
Tunamuombea ndugu yetu shifaa ya haraka.

Administration
for: Director of Health & Public Safety
ZACADIA


Chanzo: Mzalendo.net


No comments :

Post a Comment