Bosi wa kundi la taarabu la
East African Melody afariki
Dunia leo Muhimbili
Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam
MKURUGENZI na mwimbaji mahiri na mpiga kinanda wa kundi
la East African Melody, Hajji Mohamed amefariki Dunia leo katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili.
la East African Melody, Hajji Mohamed amefariki Dunia leo katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Marehemu Hajji Mohamed, enzi za uhai wake.
Habari kutoka ndani ya kundi hilo zinasema kuwa marehemu
alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya presha, huku alipofika
Hospitalini hapo alikuwa akitembea mwenyewe.
alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya presha, huku alipofika
Hospitalini hapo alikuwa akitembea mwenyewe.
Aidha pia bosi huyo wa East African Molody alikuwa
akisumbuliwa na matatizo ya kushindwa kupumua na
kusababisha kifo chake.
akisumbuliwa na matatizo ya kushindwa kupumua na
kusababisha kifo chake.

Mola amlaze pema peponi. Tutamkumbuka san kwani ni mmoja ya waanzilishi wa modern taarab yaani tarabu ya kileo.
ReplyDelete