
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, huko Bububu Zanzibar jana. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho, Dk. Salim Ahmed Salim
No comments :
Post a Comment