Waziri wa Afya Juma Duni Haji, akiwahutubia wananchi na waliocha kutumia madawa ya kulevya katika madhimisho ya siku ya upigaji vita matumizi na biashara haramu ya madawa ya kulevya Duniani, kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Tume ya Dawa za kulevya Muhmoud Mussa, na kushoto Naibu Kadhi Mkuu Zanzibar Hassan Othman.
Waziri wa Afya Juma Duni Haji akiwa na viongozi mbalimbali na Makanda wa Polisi katika picha ya pamoja na walioacha kutumia madawa ya kulevya huko Meya katika madhimisho ya siku ya upigaji vita matumizi na biashara haramu ya madawa ya kulevya Duniani.
Addy Amer aliyeacha kutumia madawa ya kulevya akitoa ushuhuda wa madawa ya kulevya, na kuwataka vijana wasijaribu kuyatumia kwani yanahatarisha maisha kwa ujumla.
Chanzo: ZanzibariYetu
No comments :
Post a Comment