Eneo la Canary wharf london ambalo Balozi Peter Kallaghe alifanya
ziara ya kutembelea kampuni ya Kitanzania, Meru Services LTD.
Tarehe 23 Novemba 2013, Balozi wa Tanzania
nchini Uingereza,
nchini Uingereza,
Peter Kallaghe alifanya ziara ya kutembelea
kampuni ya
kampuni ya
Meru Services inayomilikiwa na watanzania
waishio jijini London,
waishio jijini London,
Uingereza.
Katika ziara hiyo iliyofanyika katika kitovu
cha sekta ya biashara
cha sekta ya biashara
na fedha nchini Uingereza, Canary Wharf ,
Balozi Kallaghe alijionea
Balozi Kallaghe alijionea
huduma zinazotolewa na kampuni hiyo katika
Benki ya Kimataifa
Benki ya Kimataifa
ya Credit Suisse. Pia alikutana na kuzungumza
na baadhi ya
na baadhi ya
watanzania wanaofanya kazi za aina
mbalimbali za kuhudumia Benki hiyo.
mbalimbali za kuhudumia Benki hiyo.
| Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni ya Meru Services LTD, Bw. Dullah Meru akiongea machache na balozi Peter Kallaghe |
Balozi Kallaghe alifurahishwa na taarifa aliyopewa
kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitoa huduma
katika Benki ya Credit Suisse kwa bidii,
ujuzi na uaminifu mkubwa
kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitoa huduma
katika Benki ya Credit Suisse kwa bidii,
ujuzi na uaminifu mkubwa
kwa takriban miaka 15. Aidha imekuwa ikitoa
fursa za ajira kwa makundi mbalimbali ya
watanzania wakiwemo
fursa za ajira kwa makundi mbalimbali ya
watanzania wakiwemo
wanafunzi waishio jijini London.
![]() |
| Mkurugenzi wa Kampuni ya Axis Europe PLC Bw Dean Richards akimuelezea balozi Kallaghe Umuhimu kuwepo kwa kampuni ya Meru Servives katika eneo hilo la canary wharf. |
Katika nasaha zake, Balozi Kallaghe aliitaka
kampuni ya
kampuni ya
Meru Services kutambua kuwa kuaminika
kufanya kazi katika kitovu cha sekta ya biashara
na fedha nchini Uingereza si jambo
kufanya kazi katika kitovu cha sekta ya biashara
na fedha nchini Uingereza si jambo
dogo na kuisihi kampuni hiyo iendelee kuitunza
heshima hiyo kwa niaba ya watanzania wote.
heshima hiyo kwa niaba ya watanzania wote.
Balozi pia alitoa changamoto kwa kampuni
hiyo na watanzania waishio nchini Uingereza
kutumia ujuzi na uzoefu wanaopata ughaibuni
kama mtaji wa kuwekeza katika sekta ya huduma
inayozidi kukuwa nchini Tanzania.
hiyo na watanzania waishio nchini Uingereza
kutumia ujuzi na uzoefu wanaopata ughaibuni
kama mtaji wa kuwekeza katika sekta ya huduma
inayozidi kukuwa nchini Tanzania.
Balozi alihitimisha ziara yake kwa kuahidi
kuwa ataendelea kushirikiana na kampuni za
kitanzania na vijana wa kitanzania wanaoishi
Uingereza katika kuwaunganisha na fursa
za kiuchumi zinazojitokeza
kuwa ataendelea kushirikiana na kampuni za
kitanzania na vijana wa kitanzania wanaoishi
Uingereza katika kuwaunganisha na fursa
za kiuchumi zinazojitokeza
nchini Tanzania wakati huu.
![]() |
| Balozi Kallaghe na Afisa ubalozi Allen Kuzilwa wakifuatila jambo kutoka kwa Dean |
![]() |
| Ahmed na Dullah Meru Mkurugenzi mmiliki wa Meru Services LTD wakisikiliza kwa makini |
![]() |
| Said Surur akimuelezea Balozi jambo wakati wa mkutano pembeni yake kulia ni Allen Kuzilwa Afisa Ubalozi |
Balozi katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanayakzi
wa Meru Services Ltd
PICHANI CHINI NI BAADHI YA KAZI ZINAZOFANYA
NA MERU SERVICES LTD. NA ZILIZO KAMILIKA
Mgahawa wa wafanyakazi uliofanyiwa ukarabati na
kampuni ya Meru Services
Vijana wakiwa kazini kuweka nafasi ya kwa
ajili ya wafanyakazi wapya 210 wanao hamia
Credit Suisse London.
Huu ndo muonekano baada ya kazi kukamilika .
Picha za kushoto ni kabla ya ukarabati
na kulia ni baada ya ukarabati
Picha za kushoto ni kabla ya ukarabati na
kulia ni baada ya ukarabati
Picha za kushoto ni kabla ya ukarabati
na kulia ni baada ya ukarabati
Chanzo: SwahiliVilla
http://swahilivilla.blogspot.ie/2013/11/balozi-peter-kallaghe-aitembelea-meru.html
















No comments :
Post a Comment