AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, November 29, 2013

HAPA NA PALE KTIKA PICHA!

Msimu wa Karafuu…

Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein akiangalia mizani za kisasa za kupima karafuu kutoka kwa wakulima huko Pemba
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein akiangalia mizani za kisasa za kupima karafuu kutoka kwa wakulima huko Pemba

Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikagua karafuu za wakulima zilizoshindiliwa katika magunia zikisubiri kusafirishwa nje ya nchi huko katika bandari ya Mkoani Pemba
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikagua karafuu za wakulima zilizoshindiliwa katika magunia zikisubiri kusafirishwa nje ya nchi huko katika bandari ya Mkoani Pemba
Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  Ahmed Nassor Mazrui akisalimiana na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kulinda Haki za  Ubunifu (WIPO) Neema Nyerere,  mara baada ya kutia sahihi  makubaliano ya kuipatia nembo yake karafuu ya Zanzibar
Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ahmed Nassor Mazrui akisalimiana na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kulinda Haki za Ubunifu (WIPO) Neema Nyerere, mara baada ya kutia sahihi makubaliano ya kuipatia nembo yake karafuu ya Zanzibar


No comments :

Post a Comment