Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, December 5, 2013

China kujenga kituo cha maradhi ya mifupa na magonjwa ya tumbo Zanzibar

01-3
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Dahoma  
akiukaribisha ujumbe wa Madktari kutoka Jimbo la 
Changzhou katika sherehe za utiaji saini makubaliano 
ya ujenzi wa kituo cha maradhi ya mifupa na magonjwa 
ya tumbo katika Hospitali ya  Abdalla Mzee, Mkoani Pemba 
na Hospitali Kuu ya Mnazimmoja katika sherehe 
zilizofanyika leo Wizara ya Afya Mjini Zanzibar.   02-4
Waziri wa Afya wa Zanzibar Juma Duni Haji  na 
Naibu Mkurugenzi Mambo ya Afya kutoka jimbo 
la Changzhou Dk. Chen Jiangua wakitia saini 
makubaliano ya ujenzi wa kituo cha maradhi ya 
Mifupa  Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani na 
magonjwa ya tumbo Hospitali Kuu ya 
Mnazimmoja katika sherehe zilizofanyika 


 03-2
Waziri wa Afya wa Zanzibar Juma Duni Haji  
akibadilishana hati ya makubaliano  na Naibu 
Mkurugenzi wa Mambo ya Afya wa Jimbo la 
Changzhou baada ya kutiliana saini makubaliano 
ya ujenzi wa kituo cha maradhi ya mifupa Hospitali 
ya Abdalla Mzee na Kituo cha magonjwa ya tumbo 
Hospitali kuu ya Mnazimmoja katika sherehe 
zilizofanyika Wizara ya Afya Mjini Zanzibar. 
04-3
Picha ya pamoja ya viongozi wa Wizara ya 
Afya ya Zanzibar wakiongozwa na Waziri wa 
Afya Juma Duni Haji na Ujumbe wa madaktari 
kutoka Jimbo la Changzhou ulioongozwa na Naibu 
Mkurugenzi wa Mambo ya Afya wa Jimbo hilo 
baada ya kutiliana saina makubaliano ya ujenzi 
wa kituo cha maradhi ya mifupa Hospitali ya 
Abdalla Mzee na kituo cha maradhi ya matumbo 
Hospitali ya Mnazimmoja. Sherehe hiyo 
ilifanyika Wizara ya Afya Mjini Zanzibar
(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

Chanzo: ZanziNews

No comments :

Post a Comment