Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, December 10, 2013

MAADHIMISHO YA SIKU YA KUZUIA RUSHWA DUNIANI YAFANYIKA ZANZIBAR.

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi akitoa hotuba katika maadhimisho 
ya siku ya kuzuia Rushwa Duniani yaliofanyika katika Kiwanja cha Judo Amaan Mjini Zanzibar 
kulia yake ni  Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Ikulu na EUtawala Bora Salum Maulid na Kushoto 
yake ni Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya kuzuia Rushwa Zanzibar Mussa Haji Ali.

Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya kuzuia rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar 
Mussa Haji Ali akitoa hotuba ya makaribisho katika Maadhimisho ya siku ya Kuzuia 
Rushwa Duniani yaliofanyika huko katika Uwanja wa Judo Amaan Mjini Zanzibar.

 Waalikwa mbalimbali waliohudhuria katika Maadhimisho ya siku ya kuzuia Rushwa 
Duniani yaliofanyika huko katika Uwanja wa Judo Amaan Mjini Zanzibar.

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi katikati akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi wa Mamlaka ya kuzuia Rushwa Zanzibar,katika Maadhimisho ya siku ya kuzuia Rushwa Duniani yaliofanyika katika uwanja wa Judo Amaan Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Chanzo: ZanziNews

No comments :

Post a Comment