Mkutano wa umoja wa katiba ya wananchi-Ukawa- uliozuiliwa na jeshi la polisi mara mbili umefanyika leo katika uwanja wa Kibandamaiti mjini Zanzibar huku viongozi wakuu wa vyama vitano vya upinzani wakihudhuria na kuhutubia.
Source: SwahiliVilla
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment