Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, June 30, 2014

UCHAGUZI WA URAIS DMV NI VITA BAINA YA CCM NA CHADEMA!


MSIKILIZE MGOMBEA WA URAIS DMV LIBERATUS MWANG'OMBE ALIVYOUNGURUMA MEADOWBROOK PARK

Mchungaji Malekela akifungua mkutano wa mgombea wa urais DMV kwa maombi siku ya Jumamosi June 28, 2014 Meadowbrook Park, Chevy Chase, Maryland. Kamati ya uchaguzi imesgeza uchaguzi mpaka Aug 9, 2014 awali uchaguzi huo ulipangwa kufanyika July 20, 2014.
Mgombea wa Urais Liberatus Mwang'ombe akijinadi na kumwaga sera zake.

Wagombea wa makamu wa urais Hariett Shangarai (kushoto) na Salma Moshi katika picha ya pamoja walipokuwa wamehudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Liberatus Mwang'ombe uliofanyika siku ya Jumamosi June 28, 2014 katika viwanja vya Meadowbrook Park.

Mgombea wa makamu wa urais Bi Hariett Shangarai akijinadi na kuwaga sera zake kwa wanaDMV.

Mgombea makamu wa Urais Bi. Salma Moshi akijinadi na kuuza sera zake kwa wanaDMV.

Dotto Mallongo akisaidia kumnadi Liberatus Mwang'ombe kwa wanaDMV.

Muna akitoa yake ya moyoni kwenye mkutano wa kampeni ya Uchaguzi wa mgombea wa urais wa Jumuiya ya Watanzania DMV.

PICHA KWA HISANI YA VIJIMAMBO BLOG

No comments :

Post a Comment