AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, August 31, 2014

URAIS 2015:Nyuma ya pazia la Mizengo Pinda


  • Upole wake wahusishwa na utii kwa Rais JK
Hatua ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutangaza nia ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeibua siri nzito kuhusu uwezo na utendaji wake.

NIPASHE Jumapili limefanya tathmini ya tangu kushika wadhifa huo Septemba, 2, 2008, baada ya kujiuzulu kwa mtangulizi wake, Edward Lowassa, ambaye pia anatajwa kutaka kuwania Urais.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanamuelezea Pinda kwa namna tofauti zinazohusisha uwezo na upungufu wake katika kuishika nafasi hiyo, ikiwa atateuliwa na CCM na kushinda uchaguzi huo.

Miongoni mwa maeneo yaliyobainishwa katika utafiti huo kwa wiki nzima, ni pale Pinda, anapotajwa kuwa ni mwanasiasa asiyekuwa na ‘rekodi chafu’ katika utumishi wake wa umma, ama mwenye kashfa zinazohusishwa na uhujumu uchumi wa nchi au matumizi mabaya ya rasilimali na ofisi za umma.


LAND AVAILABLE FOR CONSTRUCTION

YOU BUILD IT AS U WISH!
THEN, RENT IT YOURSELF FOR A CERTAIN PERIOD OF TIME TO COVER YOUR CONSTRUCTION COSTS!
AVAILABLE FOR DEVELOPMENT INFRONT OF MWANAKWEREKWE MARKET A LAND OF SIZE 45'x60'. NOW THE PLOT IS OCCUPIED BY DILAPIDATED SHOPS COVERED WITH CORRUGATED SHEETS AS SEEN ABOVE, WHICH ARE TO PAVE WAY FOR A MODERN STRUCTURE (GR+2) PREFERABLY FOR A BANK, SUPERMARKET, SHOWROOMS, ETC, ANY INTERESTED PARTIES TO CONTACT 0777.855.666 ZANZIBAR <znzkwetu@gmail.com>

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA (TCD) IKULU NDOGO DODOMA LEO

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo.TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP.

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo , Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana, Isack Cheyo, Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mhe Fahmi Dovutwa wakielekea chumba cha mikutano Ikulu Ndogo mjini Dodoma leo 

Wajumbe  wa TCD wakielekea chumba cha Mikutano

Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI Mhe Joseph Mbatia, Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa wakiwasili Ikulu Ndogo mjini Dodoma leo

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Mhe James Mbatia na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na wakiwasili Ikulu ndogo mjini Dodoma leo

Wanafunzi waliofaulu vizuri skuli ya msingi ya Wingwi Mtemani wazawadiwa

  Mdhamini wa Hafla ya Utoaji zawadi Mwalimu Yussuf Shoka Hamad (Katikakati) akifuatilia kwa makini hafla ya utoaji zawadi

  Wanafunzi  waliofaulu mchepuo mwaka 2013 Shule ya Mtemani wakifuatilia jambo

Kamati ya skuli ya Mtemani wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliofaulu darasa la saba 2013-14
  Walimu wa Shule ya msingi Mtemani wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliofaulu darasa la saba 2013-14

Tahadhari ya upepo mkali na mawimbi makubwa

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
Simu: 255 22 2460735/2460706

FAKSI: 255 22 2460735/2460700 S.L.P. 3056

Barua pepe: met@meteo.go.tz DAR ES SALAAM

Tovuti: www.meteo.go.tz

Unapojibu tafadhali nakili:

Kumb. Na.: TMA/1622 31 Ogasti, 2014 

Taarifa kwa umma: Upepo mkali unaoambatana na mawimbi makubwa vinatarajiwa katika maeneo yote ya ukanda wa Pwani. Taarifa Na.201408-02
Muda wa Kutolewa Saa za Afrika MasharikiSaa 6:00 Mchana
Daraja la Taarifa:Tahadhari
Kuanzia: Tarehe01 Septemba, 2014
Mpaka: Tarehe02 Septemba, 2014
Aina ya Tukio LinalotarajiwaHali ya Upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa pamoja na mawimbi makubwa yanayozidi mita 2.0 inatarajiwa katika ukanda wote wa Pwani.
Kiwango cha uhakika:Juu: (70%)
Maeneo yatakayoathirikaPwani ya mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Maelezo:Hali hii inatokana na kuimarika kwa mgandamizo mkubwa wa hewa katika maeneo ya kusini mwa Afrika hivyo kusababisha upepo mkali wa Kusi, mashariki mwa Pwani ya Tanzania.
Angalizo:Wakazi wa maeneo yaliyotajwa wanashauriwa kuchukua tahadhari.
Maelezo ya ZiadaMamlaka ya Hali ya Hewa inaendelea kufuatilia hali hii na itatoa mrejeo pale itakapobidi.
Chanzo: ZanziNews

Tanzania eyes European football matches to attract more tourists

Tanzania eyes European football matches to attract more touristsFormer Real Madrid Legend emerging from the Maasai hut in Ngorongoro.
BY APOLINARI TAIRO/ETN STAFF WRITER, TANZANIA/DAR ES SALAAM | 
Looking to attract Spanish and other European tourists, Tanzania is eyeing the leading European soccer teams to join a hand in its tourism
promotion and marketing campaigns through key European football
leagues.
A group 25 former Real Madrid players made a five-day visit to
Tanzania few days ago in a trip that was aimed at knowing this African
safari destination, also to play a friendly football match with former
Tanzanian players.
About 40,000 football fans from various parts of the world led by
Tanzanian President Jakaya Kikwete, an ardent soccer fan, watched the
friendly match played at the National Stadium, an ultra-modern sports
ground in Tanzanian capital city of Dar es Salaam.
During their visit to Tanzania, the former Real Madrid legends visited
Mount Kilimanjaro, Africa’s highest peak, and then Ngorongoro Crater,
famous for wildlife safaris in Africa.
The former Real Madrid legends including the team’s former soccer
stars Ramon Cobbo, Luis Figo, Christian Karembeu, Fabio Cannavaro and
Michael James Owen took a chance to visit and spend a day in
Ngorongoro Conservation Area where they made a day-long wildlife
safari inside Ngorongoro Crater.

Iran says possible response to new U.S. sanctions could not be 'pleasant'

 


By Michelle Moghtader
DUBAI (Reuters) - Iran's possible response to new U.S. sanctions could "not be pleasant", its foreign minister said on Sunday, raising the prospect of tit-for-tat retribution against the Islamic Republic's old adversary weeks ahead of fresh nuclear talks.
Iranian leaders reacted with dismay to Friday's announcement that Washington was going to penalize a number of Iranian and other foreign companies, banks and airlines for violating sanctions against Tehran, most of which are tied to a decade-old dispute about its nuclear program.
Washington said the moves were a signal that there would be no let-up of sanctions while international talks were underway to ease the economic measures in exchange for Iran's agreement to curb its nuclear activities..
Iran says its nuclear program is for civilians ends only and denies allegations from the West that it may want to develop nuclear weapons.

Biggest Afro Hair In The World - Guinness World Record

MAAJABU YA LEO!
  

BOUNCY Aevin Dugas boasts the world's biggest afro - measuring an incredible four-and-a-half foot around. It takes TWO days to wash and dry and has got so big the 38-year-old struggles to see out from it. The Louisiana native has become a cult hero in her hometown and says everyone from toddlers to grandmothers have been inspired to 'go natural'. However, her record-breaking hair also brings its fair share of trouble. She is unable to drive a car with it up and also ties it back when out on first dates in case it 'overwhelms' them.

Uchunguzi wachelewesha kesi Zanzibar

Silaha alizokamatwa nazo Mhe Mansoor ambazo zilikuwa zinazo ruhsa.
Na Mwinyi Sadallah, Mwananchi.

KWA UFUPI
Kesi hiyo iliahirishwa jana mbele ya Naibu Mrajis wa Mahakama Kuu Yesaya Kayange hadi Septemba 29, huku mshtakiwa Abdulrahman Thani Matar(39) na Mohamed |Thani Matar(37) wakiwa ndani kutokana na shtaka hilo kutokuwa na dhamana.
Zanzibar - Kesi ya mauaji dhidi ya raia wawili wa Ufaransa imekwama kuanza kusikilizwa kwa miezi minane sasa, baada ya upande wa mashtaka kuendelea na madai ya kutokamilika kwa ushahidi wa kesi hiyo.
Kesi hiyo iliahirishwa jana mbele ya Naibu Mrajis wa Mahakama Kuu Yesaya Kayange hadi Septemba 29, huku mshtakiwa Abdulrahman Thani Matar(39) na Mohamed |Thani Matar(37) wakiwa ndani kutokana na shtaka hilo kutokuwa na dhamana.
Mwendesha mashtaka wa Serikali Ali Yusuph Ali alimweleza mrajis wa mahakama hiyo kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika na kuomba mahakama kupanga tarehe nyingine ya kusikilizwa kwa kesi hiyo.
Kwa mujibu wa hati ya mashtaka watuhumiuwa hao wanadaiwa kumuua Francios Denis Robert na mkewe Brigitte Meny katika Kijiji cha Matemwe Minazi Mirefu kati ya Desemba 2013 saa 5:50 na saa 7:00 katika Wilaya ya Kaskazini A Unguja.

Mawaziri, wabunge kutimuliwa kwenye nyumba TBA Dodoma

 Na Beatrice Moses, Mwananchi
KWA UFUPI
Mkurugenzi wa Yono Action Mart, Yono Kevela, kwa upande wake alisema baada ya kupokea kazi hiyo, walitoa notisi ya siku 14 kwa wahusika ili kuwapa nafasi ya kulipa madeni yao.
Juhudi za gazeti hili kuwasiliana na mawaziri wengine wakiwamo na naibu mawaziri ambao majina tunayo, zilikwama baada ya baadhi yao kushindwa kupatikana ofisini na simu zao kuita bila majibu huku wengine simu hazikupatikana.Dar es Salaam. Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) imefanya uamuzi mgumu wa kuwatimua baadhi ya wapangaji wa nyumba zake zilizopo mjini Dodoma ambao ni wadaiwa sugu, wakiwamo mawaziri saba na wabunge 15.
TBA katika kutekeleza uamuzi huo imekabidhi Kampuni ya Yono Action Mart orodha ya majina ya watu hao wanaodaiwa kiasi cha Sh800 milioni, ili waondolewe kwa nguvu kwenye nyumba hizo wanazoishi.
Akizungumza na Mwananchi juzi Mkurugenzi Mtendaji wa TBA, Elius Mwakalinga, alithibitisha kuwa ofisi yake inachukua hatua hiyo kwa mujibu wa sheria kwa sababu wapangaji hao wamekwenda kinyume na mikataba yao.
“ Hatukupenda kuchukua hatua hii, lakini ukweli ni kwamba madeni hayo ni ya muda mrefu, kazi tunayofanya ni kwa manufaa ya maendeleo ya nchi na siyo yetu binafsi, hivyo tulitegemea wangetimiza wajibu wao wa kulipa lakini imekuwa kinyume,” alisema Mwakalinga.

Wapiganaji wa JWTZ , Pemba wakabidhi msaada wa vyakula kwa mayatima

 WAPIGANAJI wa JWTZ Kisiwani Pemba, wakibeba baadhi ya Vyakula vilivyotolewa na Uongozi wa JWTZ Tanzania, kwa ajili ya kusaidia Vituo vya watoto mayatima kisiwani Pemba na kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe;Mwanajuma Majid Abdalla kwa lengo la kuvigawa katika vitu hivyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla akipoke msaada wa chakula kutoka kwa uongozi wa JWTZ Tanzania, kwa lengo la kupatiwa Vituo vya watoto mayatima, ikiwa ni maadhimisho ya Miaka 50 tokea kuanzishwa kwa jeshi hilo nchini.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 MKUU wa Utawala wa Bregedia ya 101 Zanzibar, Meja Mohammed Suleiman Ali katikati, akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, msaada wa mafuta ya kupikia kwa ajili ya Vituo vya kulelea watoto mayatima kisiwani Pemba, hafala iliyofanyika katika kiwanja cha Tenis Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba, Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla mwenyedira, akiwa katika picha ya Pamoja na wapigani wa JWTZ Tanzania, mara baada ya kukabidhiwa msaada wa Vyakula kwa ajili ya Vituo vya Watoto Mayatima kisiwani Pemba, ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tokea kuanzishwa kwa Jeshi hilo Tanzania.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

Chanzo: ZanziNews

Ten Killed At African Barrick Operations in Tanzania


by Richard SmallteacherCorpWatch Blog
August 26th, 2014

Woman panning for gold at North Mara. Photo: Plenty's Paradox. Used under Creative Commons license.
As many as 10 people have been killed by police this year at African Barrick Gold's operations in Tanzania, according to a new report from two NGOs - MiningWatch Canada and Rights and Accountability in Development (RAID) in the UK.

The North Mara gold mine in northern Tanzania is located in an area where some 70,000 Kuria people live in seven villages not far from the Kenyan border. Most of the villagers are very poor and thousands make a living by bribing local police and security officials at the mine to allow them to scavenge for gold flakes in the waste dumps. (The practice of small scale mining has been taking place for years even before Barrick began mining operations)

The new deaths were revealed almost 18 months after Leigh Day, a UK law firm, filed a lawsuit against the company on March 28, 2013, in the High Court of England and Wales on behalf of the the families of six men who were killed at the mine and a seventh who was left paraplegic. The lawsuit was filed against UK-based African Barrick, which is a subsidiary of Barrick Gold, a Canadian company.

MiningWatch Canada and RAID say they interviewed over 30 victims and their family members between June and July of this year.

Saturday, August 30, 2014

Zanzibar: Changes Implemented to Current Trade System to Facilitate Development

Zanzibar National Chamber of Commerce has stated that urgent measures are needed in order to change the current situation in the country; the unfriendly trade system, taxation and market regulations have to be modified to attract investment and expand Zanzibar’s market, and thus tackle the issue of poverty and unemployment.
Below is an article published by All Africa:
"URGENT measures are needed to improve the business environment and the government must act to promote industries and boost production and sales."
This is what the Zanzibar National Chamber of Commerce, Industries and Agriculture (ZNCCIA) told the Ministry of Trade, Industries, and Marketing in a report recently.
The ZNCCIA presented to the minister the report with a number of key issues that must be addressed if business, production and exports were to thrive. ZCCIA concerns follow the result of a recent survey on the development of industries and the challenges facing members of the business community.
The report highlights ten areas of concern and suggests how to overcome the challenges, thanks to BEST-AC which supported the study led by Mr Ahmed Baalawy - board member of the Chamber.
Lack of workable plans, reliable market, difficulties and costs in importing raw material and exporting products, protection of internal market, and lack of investment/development, were problems identified during the survey by the Chamber.The latest report reveals that the majority of traders, investors, and entrepreneurs have experienced different challenges, and that the government should know that the development of industries remains vital to people and the economy.
It highlights that industrialization can provide a base for rapid growth of income for the country and individual persons. With the increasing population the government is unable to provide for employment.
Hence it is very important to set up industries to absorb this surplus labour.

RAIS KIKWETE ATEMBELEA SOKO LA NAFAKA LA KIMATAIFA LA KIBAIGWA, DODOMA



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea soko la nafaka la kimataifa la Kibaigwa mkoani Dodoma katika siku ya kwanza ya ziara yake mkoani humo Agosti 28, 2014 , ambapo alijionea shehena kubwa sana ya mahindi iliyoletwa kutoka mashambani na kusafirishwa kila pembe ya nchi. Mwaka huu, kama ilivyokuwa mwaka jana, mavuno ya mahindi yamekuwa makubwa kiasi hata cha kupatikana kwa mavuno ya ziada yanayolemea maghala yaliyopo, ikiwa ni muendelezo wa mafanikio ya sera ya kilimo kwanza ambayo imekuwa ikileta matokeo mazuri kila mwaka.

PICHA NA IKULU



Chanzo: Vijimambo

DUAL PASSPORT!


In Your Native Country
When returning to or leaving from your native country, always present yourself as a citizen of their country (show them your native country passport, not your US passport, and declare yourself to be a citizen of your native country). When inside that country, be a citizen of that country. When dealing with the local police or any other local or federal official, if a question comes up about your citizenship, tell them you are citizen of that country. If they ask where you live, tell them in America. Don’t mention your dual citizenship or that you are an American unless specifically asked. In the eyes of that government you are citizen of that country first and subject to its laws and regulations even though you live in America
.
If you go to a US embassy or consulate in your native country for help or assistance, represent yourself as an American. The embassy staff will probably ask about your dual citizenship. Why? Because as far as international law goes, your native country has legal claim on you first when you’re in that country. This may limit the kind of help the US embassy or consulate can give you, especially if you are in trouble with your native country’s laws and government.

Source: Vijimambo

Rais Kikwete Ahitimisha ziara Mkoa wa Morogoro na Kufanya Majumuisho na Watendaji

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mbunge wa Morogoro kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa huo Mh Innocent Kalogeris  alipowasili katika ukumbi wa shule ya msingi Gairo ya kwenye kikao cha majumuisho na watendaji wa mkoa huo baada ya kuhitimisha ziara yake ya mkoa wa Morogoro

Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mvomero na Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla

Rais Kikwete akiwashukuru wafadhili wa miradi ya afya ya mama na mtoto mkoani Morogoro

Watendaji wa kada mbalimbali wa mkoa wa Morogoro katika kikao hicho cha majumuisho

The World's Largest Turban?

MAAJABU  YA LEO!
   


Uraia Pacha: Rai yangu juu ya mchango wa wana Diaspora kwenye maendeleo ya Tanzania

Mada ya uraia pacha imechukua sura mpya ndani na nje ya Tanzania hasa katika kipindi hiki ambapo wadau mbalimbali wameshirikishwa kuchangia katika uandikwaji wa katiba mpya ambayo itaunda sheria mpya au kurekebisha zile za zamani zitakazowaathiri watanzania wote popote waishipo duniani.  Kuna masuala mengi ambayo yanahitaji utafiti, uelimishwaji wa umma na wabunge wa baraza la katiba kuhakikisha kuwa sheria zinazopitishwa zitalinda maslahi ya nchi pamoja na haki za msingi za kila mwananchi mzawa na kuboresha sheria zinazozungumzia raia wapya ambao si wazawa ya Tanzania. Katika vifungu vifuatavyo, nitajaribu kutoa maelezo kuhusu baadhi ya hoja ambazo zimepelekea suala zima la ujumuishwaji wa uraia pacha kuvuta hisia tofauti.

Watakaopewa uraia pacha wataigeuza Tanzania shamba la bibi
Hii ni moja kati ya hoja nyingi ambazo kundi la watanzania wanaopinga uraia pacha wamekuwa wakiitumia kueleza jinsi gani urai pacha utakavyoathiri uchumi na maliasili za nchi. Hoja hii inaukweli ndani yake iwapo tu nchi haitakuwa na sera na sheria za kulinda uchumi kwa maslahi ya taifa. Si hivyo tu, hata kama nchi itakuwa na sheria lakini kama hazitasimamiwa kwa ufanisi wa makusudi,  kutoka kwa wale waliopewa majukumu ya kuzisimamia, bila shaka nchi yetu itakuwa shamba la bibi.
Pamoja na hoja hii kuwa na nguvu, siamini kama hii ni sababu tosha ya kutopitisha sheria ya uraia pacha kwa mamilioni ya watanzania ambao walichukua uamuzi wa kwenda kutafuta elimu, kazi na maisha bora ambayo yalikuwa ni vigumu kuyapata katika mazingira wajiyoondokea. 

Zanzibar ina mengi ya kujifunza kura ya maoni Scotland


A K Khiari

Hivi karibuni Scotland itapiga kura ya maoni (Referendum) kuamua kwamba inataka kubaki katika United Kingdom ama laa.
Kura hii ni muhimu sana kwa mustakabali wa nchi ya Scotland ambayo kwa miaka mingi imekuwa chini ya himaya ya Uingereza baada ya kujiunga pamoja na kuunda United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland.


Umoja huu uliundwa mwaka 1801.
Kura ya maoni itafanyika tarehe 18 Septemba 2014 na kwenye karatasi ya kura kutakuwa na suala moja tu nalo ni : Je unataka Scotland iwe ni nchi huru? Na jibu liwe ima ni ‘Ndiyo’ au ‘Hapana’.
Scotland, kama Zanzibar, ilikuwa ni nchi huru ambayo kwa kuungana na Uingereza mwaka 1801 ikapoteza utaifa wake kama Zanzibar ilivyopoteza utaifa wake walipoungana na Tanganyika.
Scotland, kama Zanzibar, illiingia katika muungano huu kwa kupoteza utaifa wake na kubakia raia wake kuwa raia wa Uingereza kama walivyobaki raia wa Zanzibar kuwa ni raia wa Tanzania baada ya kuungana na Tanganyika.
Scotland, kama Zanzibar, ilipoteza sarafu yake na benki Kuu na hivi kuamuliwa chini ya UK wakitumia Pauni ya kiingereza kama ilivyo kwa Zanzibar kutumia sarafu ya Shilingi.
Scotland, kama Zanzibar, ilibakia na bunge lake dogo ambalo huchaguliwa na wapiga kura na kuwepo kwa miaka mine na Zanzibar tuna baraza la wawakilishi ambalo pia huchaguliwa kwa kura kwa muda wa miaka mitano.

DUAL CITIZENSHIP OR DUAL NATIONALITY PRACTICAL TIP


Dual citizenship or dual nationality is simply being a citizen of two countries. The United States allows dual citizenship. For example, if you were born in Mexico you are a native-born Mexican. If you move to the United States and become a naturalized US citizen, you now have dual citizenship. Dual citizens can carry two passports and essentially live, work, and travel freely within their native and naturalized countries.
Some dual citizens also enjoy the privilege of voting in both countries, owning property in both countries, and having government health care in both countries.
Dual citizenship is becoming more common in our increasingly interconnected, global economy. Many countries are now seeing the advantages of dual citizenship and are liberalizing their citizenship laws (India, the Phillippines, and Mexico are recent examples). Dual citizenship has the advantages of broadening a country’s economic base by promoting trade and investment between the dual citizen’s two respective countries.
Some countries do not allow dual citizenship. For example, if you were born South Korea and become a US citizen, you will most likely lose your Korean citizenship if the Korean government finds out about it. But an increasing number of these countries that prohibit dual citizenship are not enforcing their laws regarding dual citizenship. So, you may informally have dual citizenship if your native country does not take away your citizenship after you become a US citizen.

Source: Vijimambo