Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa na Menaja
Mradi wa NSSF Mhandisi Karim Mattaka kulia yake na afisa wa Mfuko huo
Bibi Maryam Muhaji wakikagua ujenzi wa Daraja la Kigamboni unaoendelea.
Balozi Seif akipata maelezo ya ujenzi wa daraja la Kigambnoni kutoka kwa wahandisi wa ujenzi huo wakati alipotembelea mradi huo.
Muonekano wa daraja la kigamboni unavyoonekana ukiendelea ya ujenzi wake
chini ya wahandisi kutoka Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Madaraja
kutoka Jamuhuri ya watu wa china ya China Mager Bridges.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwa pamoja na watendaji
wa mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii Tanzania { NSSF } wakiangalia
mazingira ya eneo linalojengwa nyumba za mkono nafuu unaofanywa na mfuko
huo.
Meneja wa usimamizi wa ujenzi wa nyumba za mkopo nafuu kutoka mfuko wa
Taifa wa Hifadhi ya Jamii Tanzania Mhandisi Msemo akimpatia maelezo
Balozi Seif wakati alipofanya ziara kukagua ujenzi wa nyumba za mkopo
nafuu.
(Picha na Hassan Issa. OMPR)
No comments :
Post a Comment