Afisa tawala Mkoa wa
Kaskazini Pemba, Khamis Salum Mohamed akifungua kongamano la siku ya Maafa
kimataifa, ambalo huadhimishwa kila ifikapo Oktoba 13 ya kila mwaka, lililowashirikisha walimu wa skuli mbali mbali
za mkoa huo, huko katika ukumbi wa Jamhuri Holl Wete.
Kaimu Mratib wa Idara
ya kukabiliana na maafa Pemba, Ali Salum Ali, akizungumza na waandishi wa
habari kutoka vyombo tafauti vya habari Zanzibar, katika maadhimisho wa siku ya
Maafa kimataifa lililofanyika huko Wete Mkao wa Kaskazini Pemba.
Afisa Elimu Wilaya ya Micheweni Mwalimu Mbwana Shaame,akitoa
neon la shukurani kwa niaba ya walimu wenzake, katika kongamano ya maadhimisho
la siku ya maafa kimataifa, lililoandaliwa na Idara ya kukabiliana na Maafa
Pemba.
(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments :
Post a Comment