AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, January 1, 2015

Ari zaidi, Nguvu zaidi na Kasi zaidi tumeiona!

Hongera Mheshimiwa wa awamu ya nne, kwani Ari zaidi,Nguvu zaidi na Kasi zaidi tumeiona.
Kwani Ari zaidi,Nguvu zaidi na Kasi zaidi tumeishuhudia katika Ufisadi (EPA,Richmond,Escrow),Kunyofoa maoni ya watanzania katika Rasimu ya Katiba, Wezi wa Mali za Umma kuwekwa viporo, Uhuru wa vyombo vya habari kuminywa,Migomo ya wafanyakazi katika kada mbalimbali, Wanafunzi wengi wa elimu ya juu kunyimwa mikopo, Shule kukosa madawati, Ugumu wa maisha kuongezeka, Kiongozi mkuu wa nchi kuhusishwa na kashfa za ubadhirifu wa mali za umma, Kuminywa kwa demokrasia nk.
Heko kwako Mheshimiwa wa awamu ya nne..


No comments :

Post a Comment