Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad alipowasili viwanja vya Ikulu jana kuhudhuria katika futari ya pamoja na Wafanyakazi wa Wizara zilizo chini ya Ofisi ya Rais,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad wakiwa katika futari ya pamoja na Wafanyakazi wa Wizara zilizo chini ya Ofisi ya Rais,(kushoto) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji,[Picha na Ikulu.]
Viongozi mbali mbali wa Wizara zilizo chini ya Ofisi ya Rais wakiwa katika futari ya pamoja iliyotayarishwa jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Wafanyakazi wanawake wa Wizara mbali mbali wa Wizara zilizo chini ya Ofisi ya Rais wakiwa katika futari ya pamoja iliyofanyika jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi Wakuu wa Nchi walihudhuria ambao ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,Makamo wa Kwanza wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,[Picha na Ikulu.]
Waheshimiwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar pia walijumuika katika futari ya pamoja na Wafanyakazi wa Wizara zilizo chini ya Ofisi ya Rais,iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar jana,
[Picha na Ikulu.]
Wafanyakazi wanawake wa Wizara mbali mbali wa Wizara zilizo chini ya Ofisi ya Rais wakiwa katika futari ya pamoja iliyofanyika jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi Wakuu wa Nchi walihudhuria ambao ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,Makamo wa Kwanza wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,[Picha na Ikulu.]
No comments :
Post a Comment