AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, July 4, 2015

Rais afanya Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa COMORO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana  na   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano kutoka Comoro Abdoulkarim wa  Mohamed alipofika Ikulu Mjini Unguja jana kwa mazungumzo na Rais,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano kutoka Comoro Abdoulkarim wa  Mohamed alipofika Ikulu Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.]

No comments :

Post a Comment