Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, January 11, 2016

Rais Magufuli amfariji Mama Nyerere kwa msiba wa Kifo cha mkwe wake, Marehemu Leticia Nyerere

jpmama5.JPG
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani. 
jpmama4.JPG
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani. 
jpmama3.JPG
jpmama2.JPG
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimfariji na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani. 
jpmama1.JPG
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimfariji na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.

TANZIA DMV NA TANZANIA LETICIA NYERERE HATUNAE TENA

Aliyekua Mbunge viti maalum Leticia Nyerere ameaga Dunia leo katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo Lan ham, Maryland.  Msiba DMV upo 9004 Brightlea Court, Lanham, MD 20706. Taarifa zaidi baadae R.I.P. mama yetu tulikupenda lakini Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi.

No comments :

Post a Comment