zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, March 5, 2016

Maalim Seif Akiwasili Zanzibar Akitokea Matibabuni Nchini India.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akipokelewa katika uwanja wa ndege wa Zanzibar akitokea nchini India alikokwenda kwa ajili ya uchunguzi wa afya.
 Baadaye alipokelewa na wafuasi wa Chama chake cha CUF nyumbani kwake Mbweni na kupata fursa ya kuwasalimia.
Katika salamu zake Maalim Seif amesema CUF hakitobadili msimamo wake wa kutoshiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Machi 20, 2016, na kwamba hakuna mgombea yoyote wa CUF atakayeshiriki uchaguzi huo.
(Picha na Salmin Said, OMKR)















No comments :

Post a Comment