- MWENYEKITI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais John Magufuli na Rais Salva Kiir Mayardit wa Sudan Kusini, wanatarajia kusaini mkataba wa kuipokea nchi hiyo kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Katika mkutano mkuu wa 17 wa kawaida wa wakuu wa EAC, uliofanyika Machi 2 mwaka huu, jijini Arusha, wakuu hao walipokea ripoti ya Baraza la Mawaziri kuhusu mazungumzo ya makubaliano yao ya kuipokea Sudan Kusini kama mwanachama mpya.
Owora alisema mkutano huo ulimpa kazi Rais Magufuli kusaini mkataba wa kuipokea rasmi Sudan Kusini.
No comments :
Post a Comment