Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam Kamishina Simon Siro, akionyesha marobota 10 ya vitenge pamoja na katoni 17 za Pampasi zilizokamatwa zikiwa katika gari yenye namba za usajili T 490 CQB katika eneo la Gezaulole jijini Dar es Salaam jana. Baada ya askari polisi kupata taarifa kwa raia wema kuwa eneo hilo kuna watu wanasafirisha mali hiyo ambayo haijalipiwa ushuru. (Picha na Francis Dande)
Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam Kamishina Simon Siro akionyesha pikipiki zilizokamatwa katika matukio mbalimbali ya kiuharifu zikiwa katika kituo kikuu cha Polisi, ambapo amewataka wahusika kufika kituoni na kuchukua pikipiki zao kabla hazijapigwa mnada.
No comments :
Post a Comment