dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, April 4, 2016

POLISI KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM WAKAMATA MAROBOTA YA VITENGE

 Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam Kamishina Simon Siro, akionyesha marobota 10 ya vitenge pamoja na katoni 17 za Pampasi zilizokamatwa zikiwa katika  gari yenye namba za usajili T 490 CQB katika eneo la Gezaulole jijini Dar es Salaam jana. Baada ya askari polisi kupata taarifa kwa raia wema kuwa eneo hilo kuna watu wanasafirisha mali hiyo ambayo haijalipiwa ushuru. (Picha na Francis Dande)
Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam Kamishina Simon Siro akionyesha pikipiki zilizokamatwa katika matukio mbalimbali ya kiuharifu zikiwa katika kituo kikuu cha Polisi, ambapo amewataka wahusika kufika kituoni  na kuchukua pikipiki zao kabla hazijapigwa mnada. 

No comments :

Post a Comment