Hofu imezuka kwa wakaazi wa kijiji cha Manchali, wilayani Chamwino mkoani Dodoma baada ya mama mmoja aliyetambulika kwa jina la Joyce Elias kujifungua mtoto wa ajabu akiwa na uzito usio wa kawaida wa kilo 4 na gramu 900 huku kichwa chake kikiwa ni kidogo chenye uwazi sehemu ya utosini na kuitaka serikali kutuma wataalam wa afya kuchunguza tatizo hilo wakidai linafanana na viashiria vya ugonjwa wa homa ya zika.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment