Pichani aliyevaa shati la drafti ni aliyekua mfalme wa Zanzibar kabla ya Mapinduzi ya mwaka 1964 Sayyid Jamshid.
Hapo amehudhuria maziko ya marehemu Nassor Marjeb yaliyofanyika siku ya Ijumaa tarehe 29/07/2016 mijini Portsmouth Uingereza.
Marehemu alikua afisa mkuu wa upelelezi katika jeshi la polisi kabla na baada ya Mapinduzi na baadae alikimbilia Uingereza hadi kifo chake.
Mungu amlaze mahali pema peponi-Ameen!
No comments :
Post a Comment