Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Ahsante kwa kazi yako ya kuhabarisha umma lkn. naskitika hutupatii taarifa za kina kuhusu maamuzi mbali mbali ya yanayofanywa na serikali yanayoathiri jamii kwa ujumla.
ReplyDeleteKuna matukio kama vile kupanda kwa bei ya umeme, kuhamishwa kwa wafanyabiashara wa mbao kijangwani, watu kunyang'anywa viwanja nk. tunalazimika kuzitafuta habari hizi maeneo mengine.