Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, March 24, 2017

LIVE: Rais Magufuli Awaapisha Mwakyembe, Dk. Kabudi, azungumzia tena Mitandao ya Kijamii na Magazeti!

Rais Magufuli, Machi 24, 2017 amewaapisha mawaziri wawili Dk Harrison Mwakwembe ambaye amekuwa Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo pamoja na Dr. Palamagamba Kabudi ambaye amekuwa Waziri Mpya wa Sheria na Katiba, uteuzi wao ulifanyika jana Machi 23, 2017. Nape Moses Nnauye ndiye aliyekuwa anashikilia wadhifa wa Waziri wa Habari. Mawaziri hao, pamoja na Mabalozi wawili, akiwemo Dk Abdallah Saleh Possi ambaye amekuwa Balozi Mpya wa Tanzania nchini Ujerumani. Wateule wote na wengine wameapishwa Ikulu ya Magogoni, jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment