dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, March 13, 2017

SIR GEORGE KAHAMA KATUHAMA!


Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa kwanza katika serikali ya awamu ya kwanza, Sir George Kahama amefariki dunia jioni ya leo alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Akizungumza kuhusu kifo hicho, Ofisa Habari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), John Stephen alisema Sir Kahama alifariki saa 10:40 jioni alipokuwa akiendelea na vipimo katika kitengo cha dharura.
"Tulimpokea katika kitengo cha dharura Ijumaa na akalazwa hapa kwa kipindi chote alikuwa akiendelea na matibabu na wakati mauti inamfika alikuwa akipatiwa moja ya vipimo ambavyo alikuwa akiendelea navyo." alisema Stephen.

No comments :

Post a Comment