Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, March 24, 2017

Sitamani kuwa Mtanzania - Quickrocka!

Quickrocka
Msanii Quickrocka (Switcher Baba) amesema hawezi kujisifia kuwa raia wa Tanzania kuanzia sasa kutokana na kile anachokiamini yeye kutendeka ndivyo sivyo.

Hayo yamekuja baada ya muda mfupi Rais Magufuli kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na kumuweka pembeni Nape Nnauye aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.

'I don’t feel proud' kuwa Mtanzania 'anymore'…Tunatangazaje na kusifia nchi ambayo viongozi wanaosimamia ukweli na sheria wanaondolewa…Huku wanaozingua wanaendelea kupeta. Nape alikua Waziri sahihi kabisa kwetu wasanii,wanamichezo na Wanahabari". Ameandika msanii huyo.

No comments :

Post a Comment