Ofisi kuu ya Rais wa Nigeria imethibitisha kuwa wanafunzi 82 wa shule ya wasichana wa Chibok, waliotekwa nyara na wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram mnamo mwaka wa 2014, wameachiwa huru.
Maafisa wanasema kuwa waliachiwa huru, kufuatia majadiliano ya muda mrefu na ubadilishanaji washukiwa wa Boko Haram, waliokuwa wamezuiliwa na wakuu wa nchi hiyo.
Wasichana hao ni miongoni mwa zaidi ya wanafunzi wanafunzi 270 waliotekwa nyara kutoka shule ya malazi katika mji wa Chibok ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Wasichana hao wote 82 kwa sasa wanalindwa na jeshi la Nigeria mahali salama, baada ya kuletwa kwa barabara kutoka maeneo ya ndani kabisa vijijini, hadi katika kambi ya jeshi ya Banki, karibu na mpaka na Cameroon, hayo ni kwa mjibu wa mwaandishi habari wa BBC Stephanie Hegarty kutoka Lagos.
Mwaandishi wetu anasema kuwa, familia nyingi huko Chibok wamefurahia taarifa hiyo ya hivi punde lakini wapiganaji hao wa Boko Haram, wangali wakiwazuilia zaidi ya wanafunzi 100.
Utekaji nyara huo ambao ulifahamika baadaye kama "Chibok girls" ulisababisha kilio kikubwa kote duniani na kampeini za kutaka waachiwe huru ikatanda kote katika mitandao ya kijamii.
Kabla ya hatua hii ya hivi punde ya kuwaachia wasichana hao, inakisiwa kuwa zaidi ya wasichana 195 wangali hawajulikani waliko.
Idadi ya washukiwa wa Boko Haram ambao wameachiwa huru na utawala wa Nigeria, bado haijajulikana.
Maafisa wanasema kuwa waliachiwa huru, kufuatia majadiliano ya muda mrefu na ubadilishanaji washukiwa wa Boko Haram, waliokuwa wamezuiliwa na wakuu wa nchi hiyo.
Wasichana hao ni miongoni mwa zaidi ya wanafunzi wanafunzi 270 waliotekwa nyara kutoka shule ya malazi katika mji wa Chibok ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Wasichana hao wote 82 kwa sasa wanalindwa na jeshi la Nigeria mahali salama, baada ya kuletwa kwa barabara kutoka maeneo ya ndani kabisa vijijini, hadi katika kambi ya jeshi ya Banki, karibu na mpaka na Cameroon, hayo ni kwa mjibu wa mwaandishi habari wa BBC Stephanie Hegarty kutoka Lagos.
Mwaandishi wetu anasema kuwa, familia nyingi huko Chibok wamefurahia taarifa hiyo ya hivi punde lakini wapiganaji hao wa Boko Haram, wangali wakiwazuilia zaidi ya wanafunzi 100.
Utekaji nyara huo ambao ulifahamika baadaye kama "Chibok girls" ulisababisha kilio kikubwa kote duniani na kampeini za kutaka waachiwe huru ikatanda kote katika mitandao ya kijamii.
Kabla ya hatua hii ya hivi punde ya kuwaachia wasichana hao, inakisiwa kuwa zaidi ya wasichana 195 wangali hawajulikani waliko.
Idadi ya washukiwa wa Boko Haram ambao wameachiwa huru na utawala wa Nigeria, bado haijajulikana.



Can Islam and Christian-ET exist on the same continent ?
ReplyDeleteLet us deflect to Christ-ian-ET – AS JESUS HIMSELF SAID THAT PAUL WAS A LIAR !
U SEE PAUL LIED ABOUT HIS APOSTLESHIP ! dindooohindoo
“And you have tested those who say they are apostles and are not, and have found them liars.” Revelation 2:2
If Paul was not called a liar about his apostleship, then why does he specifically say in 1 Timothy 2:7 he is not lying about his apostleship?
LYING AND IDOLATORTY IS COOL FOR PAUL ! HIS JESUS ENCOUNTER IN THE DESERT WAS CONTRADICTED BY JESUS HIMSELF !
Paul claimed to have encountered Jesus in the desert on the road to Damascus. Jesus told me in Matthew 24:26 when someone claims to see him in the desert don’t believe him. Should I take the advice of Jesus?
THE BEST PRACTICE OF REPETITIVE LYING = TRUTH = USED BY JEWS /CHRISTAINS AND HINDOOO SCUM !
Paul calls himself an apostle over 13 times and starts a majority of his epistles off with this title. No where in scripture does any other apostle refer to him as an apostle.
ONLY 2 PEOPLE OTHER THAN PAUL REFRREED TO PAUL AS THE APOTSLE ! GOD BLESS !
AS JESUS SAID – MOSES WAS A LIAR AND A CHEAT !
For the law was given by Moses but grace and TRUTH came by Jesus Christ,
No man hath heard God at any time. (John 1:17-18 and John 5:37 + 61)
Moses gave you not that bread from heaven, but my Father giveth you the true bread from heaven. (John 6:32)