Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, June 17, 2017

Baada ya Korea Kaskazini, Marekani sasa inamchokonoa Cuba!

Serikali ya Cuba imelaani vikali hatua ya Rais Trump kuiwekea upya vikwazo vya usafiri na biashara taifa hilo baada ya utawala wa Barak Obama kulegeza sheria hiyo, katika harakati ya kuboresha uhusiano baina ya mataifa hayo mawili.
Akiwahutubia wamarekani wenye asili ya Cuba mjini Miami, Trump amesema hatua yake imechangiwa na rekodi ya Cuba ya Ukiukaji wa haki za binadamu hasa, wakati wa utawala wa kidikteta wa Fidel Castro.

Amesema sera hiyo mpya itatilia mkazo sheria juu ya usafiri na kutuma fedha nchini humo.

Havana hata hivyo imeskitishwa na uamuzi huo na kuongeza kuwa unarudisha nyuma ushirikiano wa kimaendeleo baina ya mataifa hayo na kwamba Marekani haiwezi kuishauri Cuba juu ya masuala ya haki za binadamu.

No comments :

Post a Comment