Dallas Community Chairman Ben Kazora akizungumzia maadhimisho ya Tanzania day, umuhimu wa diaspora na challenges kwa wanadiaspora katika kipindi maalum cha the Mboni show ambacho hurushwa kwenye television ya taifa (TBC). Madhimisho ya Tanzania day ambayo yameandaliwa na watnzania washio mji Dallas Texas na kuwa recognized na meya wa mji wa mji huo, Ndugu Mike Rawlings, yamepangwa kufanyika kila mwaka kwa lengo la kuunganisha, kuimarisha Tanzanian DIASPORA wote duniani ili kupeleka maendeleo yatakayoesabika katika nchi ya Tanzania. Picha na matukio:
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment