Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Wednesday, August 2, 2017
MSIBA HARUSINI: Bibi Harusi kafariki saa 11 baada ya kuolewa…kisa?
Tukio hilo linatajwa kutokuwa la kawaida baada ya ndoa kufungwa saa Kumi Alasiri na Bibi Harusi kufariki saa Kumi na Moja Alfajiri huku ikidaiwa kuwa alikuwa na ujauzito wa Miezi Sita.
Inaelezwa kuwa siku ya tukio Bwana Harusi aliwapigia simu ndugu wa mkewe kuwapa taarifa ya kuumwa ghafla mkewe ambapo alikuwa analalamika kuumwa tumbo na kumkimbiza Hospitali usiku huo ambako baadaye alifariki.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment